Tatizo huyo mwanaume anapenda shule wakati shule haimtaki
mtoto mzuri soma kwanza ukifika semister ya pili mwaka wa pili utakuwa a akili tofauti.. mshauri huyo mpenzi wako kuwa maisha si lazima shule
kuna ujanja/future/ na vitu visivyowezekana!
hivi unaweza kumwomba mpenzi wako ambae hata baskeli Hana.. unamuomba BMW?
kuna vitu vinavyowezekana na visivyowezekana.
huwezi kuwaza ndoa kwamwanaume Kama huyo....
waza future nae - at your own risk.
kwa nini mkuu?Mh sikutegemea MTU kama ww ungetoa ushauri kama huu miss chagga
ha hahaha huyo bado mdogo namshauri kiudogoudogoUshauri mzuri, umetoka kwa golddigger kama ww mh miss chagga
Umemshauri vizuri. Kutusua sio lazima shule. Shule inatupa mbinu za vita, kushinda vita inahitaji vitu vya ziada!mtoto mzuri soma kwanza ukifika semister ya pili mwaka wa pili utakuwa a akili tofauti.. mshauri huyo mpenzi wako kuwa maisha si lazima shule
hapana, tatizo hamjanielewa....Mh, future in which sense? Au ushaona jamaa wa FM 4 hana mwelekeo wa kuwa successful mbeleni princess ariana
kabisa mkuuUmemshauri vizuri. Kutusua sio lazima shule. Shule inatupa mbinu za vita, kushinda vita inahitaji vitu vya ziada!