Naomba ufafanuzi kuhusu hii biashara ya maudhui mtandaoni

Last_Born

Member
Dec 9, 2022
65
99
Je, inawezekana kuanzisha na kuendesha biashara ya maudhui mtandaoni kama blogging au YouTube kama kina Millard Ayo, bila ada za awali (license fee) ? Kama vile mambo ya lecense za TCRA sijui BRELA, then nikaja kulipa baadae

Ikiwa kuna gharama, ni zipi zinaweza kulipwa baadaye baada ya kupata mapato? Nataka kuelewa mbinu bora za kuanza biashara kabla sijaingia kichwa kichwa
 
Je, inawezekana kuanzisha na kuendesha biashara ya maudhui mtandaoni kama blogging au YouTube kama kina Millard Ayo, bila ada za awali (license fee) ? Kama vile mambo ya lecense za TCRA sijui BRELA, then nikaja kulipa baadae

Ikiwa kuna gharama, ni zipi zinaweza kulipwa baadaye baada ya kupata mapato? Nataka kuelewa mbinu bora za kuanza biashara kabla sijaingia kichwa kichwa
Ukianza kuwaza vikwazo hutoboi, fungua chanel anza kurekodi video.

Alafu wewe unaonesha ni mfeni sana kwenye hii nchi, hizo sheria (kandamizi) zinazo control youtubers ziliwekwa enzi za mwendazake ili kucontrol wakosoaji.

Yani ukianzisha chanel ukaanza kosoa serikali jua wataitumia kukubana. Sasa wewe content zako haziusiani na siasa unadhan nani atakua na mda wa kukufwatilia?

Alafu brela ya kazi gani unataka fungua kampuni?

Anza wewe acha kupoteza muda.
 
Ukianza kuwaza vikwazo hutoboi, fungua chanel anza kurekodi video.

Alafu wewe unaonesha ni mfeni sana kwenye hii nchi, hizo sheria (kandamizi) zinazo control youtubers ziliwekwa enzi za mwendazake ili kucontrol wakosoaji.

Yani ukianzisha chanel ukaanza kosoa serikali jua wataitumia kukubana. Sasa wewe content zako haziusiani na siasa unadhan nani atakua na mda wa kukufwatilia?

Alafu brela ya kazi gani unataka fungua kampuni?

Anza wewe acha kupoteza muda.
Baadae haiwezi kuja kuleta shida kweli ikaonekana nafanya shughuli bila kibali
 
Baadae haiwezi kuja kuleta shida kweli ikaonekana nafanya shughuli bila kibali
We Fanya tu usiwaze hayo
Kuna content creator wa TikTok namlipa 300k per month anitangazie biashara yangu na ana biashara nyingine pia so wewe Anza usiangalie vikwazo
 
Je, inawezekana kuanzisha na kuendesha biashara ya maudhui mtandaoni kama blogging au YouTube kama kina Millard Ayo, bila ada za awali (license fee) ? Kama vile mambo ya lecense za TCRA sijui BRELA, then nikaja kulipa baadae

Ikiwa kuna gharama, ni zipi zinaweza kulipwa baadaye baada ya kupata mapato? Nataka kuelewa mbinu bora za kuanza biashara kabla sijaingia kichwa kichwa
Ukianzisha. Ulete mrejesho tukupe support

 
Back
Top Bottom