Last_Born
Member
- Dec 9, 2022
- 65
- 99
Je, inawezekana kuanzisha na kuendesha biashara ya maudhui mtandaoni kama blogging au YouTube kama kina Millard Ayo, bila ada za awali (license fee) ? Kama vile mambo ya lecense za TCRA sijui BRELA, then nikaja kulipa baadae
Ikiwa kuna gharama, ni zipi zinaweza kulipwa baadaye baada ya kupata mapato? Nataka kuelewa mbinu bora za kuanza biashara kabla sijaingia kichwa kichwa
Ikiwa kuna gharama, ni zipi zinaweza kulipwa baadaye baada ya kupata mapato? Nataka kuelewa mbinu bora za kuanza biashara kabla sijaingia kichwa kichwa