Pole sana , madeni unayolipa kama yalikopa Kwa ajili ya elimu yako hauna budi kuyalipa , ila kuhusu choo kipindi Cha masika ni kinajaa maji au vipi .Habari za muda huu, natumaini mpo salama wote. Nina shida ya kiasi Cha fedha kwa ajili kujenga choo bora hapa nyumbani. Ni miaka mitatu sasa najitahidi kufanikisha jambo hili lakini naishia kushindwa. Sababu kubwa ni kwamba kiasi cha pesa ninachokipata katika kazi ndogo ndogo za kila siku kinaishia kufanya marejesho ya mikopo ambayo namsaidia mama yangu kuilipa. Ni mikopo ya muda mrefu na imekuwa ikinichanganya sana hasa kila mgambo wakitumwa kumchukua mama kwenda naye ofisi za kata kila mara. Hiking kitu kimefanya niendelee kulipa marejesho kila siku ili kupunguza ukali wa hayo madeni.
Mimi ni kijana wa miaka 26 na ni miaka mitatu sasa tangu nimalize chuo kikuu. Naishi nyumbani na mama yangu na wadogo zangu wawili na ninatamani sana kuondoka hapa nyumbani kabla ya mwaka huu kuisha.
Naomba sana msaada wenu wakuu wa pesa niweze kujenga choo hapa nyumbani kabla ya kuondoka, maana kipindi Cha masika huwa mateso sana kutumia hiki choo. Ni ndoto yangu kuondoka hapa nyumbani angalau nikiwa nimeacha mazingira mazuri kwa upande wa choo.
Picha za choo tunachotumia Kwa sasa
View attachment 3106287View attachment 3106288View attachment 3106291
Namba yangu ni 0672569461 TIGO PESA
Jina YONA.
MUNGU AWABARIKI.
Unataka pesa tu au tukija na matofali na simenti angalau tukujengee cha pasipoti saizi utatupokea? Au tukianzisha mnada humu wa kuiuza simu yako tupate kiasi chapesa huenda na ziada utakuwa tayari.Habari za muda huu, natumaini mpo salama wote. Nina shida ya kiasi Cha fedha kwa ajili kujenga choo bora hapa nyumbani. Ni miaka mitatu sasa najitahidi kufanikisha jambo hili lakini naishia kushindwa. Sababu kubwa ni kwamba kiasi cha pesa ninachokipata katika kazi ndogo ndogo za kila siku kinaishia kufanya marejesho ya mikopo ambayo namsaidia mama yangu kuilipa. Ni mikopo ya muda mrefu na imekuwa ikinichanganya sana hasa kila mgambo wakitumwa kumchukua mama kwenda naye ofisi za kata kila mara. Hiking kitu kimefanya niendelee kulipa marejesho kila siku ili kupunguza ukali wa hayo madeni.
Mimi ni kijana wa miaka 26 na ni miaka mitatu sasa tangu nimalize chuo kikuu. Naishi nyumbani na mama yangu na wadogo zangu wawili na ninatamani sana kuondoka hapa nyumbani kabla ya mwaka huu kuisha.
Naomba sana msaada wenu wakuu wa pesa niweze kujenga choo hapa nyumbani kabla ya kuondoka, maana kipindi Cha masika huwa mateso sana kutumia hiki choo. Ni ndoto yangu kuondoka hapa nyumbani angalau nikiwa nimeacha mazingira mazuri kwa upande wa choo.
Picha za choo tunachotumia Kwa sasa
View attachment 3106287View attachment 3106288View attachment 3106291
Namba yangu ni 0672569461 TIGO PESA
Jina YONA.
MUNGU AWABARIKI.
Umemaliza kila kitu!Sote tunatambua kuwa mambo ni tight lakini kuomba msaada iwe mambo ya dharula yale kibinadamu
Mkuu,hicho choo anasema kinajaa maji wakati wa masika,hivyo kinakua ni hatari kwa wakazi wa hapo home kwao,Umemaliza kila kitu. Kuomba msaada iwe ni kwa mambo ya dharura kama ugonjwa, ukosefu wa chakula; na mengine yenye uharaka sana. Vinginevyo mtu unaweza kujikuta kila kitu unaomba omba tu.
Halafu katika dunia hii kila mtu ana matatizo yake; sema tu wengi wetu tunapambana nayo kimya kimya. Tusipende kuomba omba sana hasa kama shida yenyewe si ya dharura kivile maana tunaweza kuishia kujitwezea utu wetu!
Hapana sio pesa tu mkuu hata msaada tofauti na pesa unaoweza kusaidia ujenzi huu.Unataka pesa tu au tukija na matofali na simenti angalau tukujengee cha pasipoti saizi utatupokea? Au tukianzisha mnada humu wa kuiuza simu yako tupate kiasi chapesa huenda na ziada utakuwa tayari.