Iceman 3D
JF-Expert Member
- Sep 3, 2016
- 20,611
- 67,094
ha ha kumbe mtani wetu mm na kaka Bonny endelea kumtafuta bado tunamuhitaji asije akawa amepotea kwenye matambiko yao




Uskute kuna mtu kamfungia huko
ha ha kumbe mtani wetu mm na kaka Bonny endelea kumtafuta bado tunamuhitaji asije akawa amepotea kwenye matambiko yao
watafunguka tu,mkuu twasubirWanafichaficha... Wafunguke tu
inawezekana eb endelea kumtafuta ndugu yako![]()
![]()
![]()
![]()
Uskute kuna mtu kamfungia huko
We umejuaje ??..maana hiyo ni secret society .....!!!yaah iyo ni Ibada ya freemason,,miongoni mwa vitu muhim na lazima ni bendera 2 pale mbele na wahumini wake lazima wavae suti nyeusi,,shati jeupe na necktai nyeusi,,hao wengine ni waalikwa,,anayeongoza misa ana cheo cha Master Masoni yaani ana degree 3,,dgree za Masonic ni 33 na wanaomiliki izo km Tony Blair,,George Bush,Obama etc
Sawa nadhan atarud tuinawezekana eb endelea kumtafuta ndugu yako![]()
Awe makini maana kuna adhabu kwa makasuku kama yeye. ..!!Huyo jamaa ni Freemason