naomba kujua jina na tiba la ugonjwa huu

mbuyake

JF-Expert Member
Feb 20, 2013
291
503
habarini wana Jf,kuna mdogo wa mke amepata ugonjwa wa ajabu amekuwa ananyonyoka nywele kama mnavyoona yeye ni umri wa miaka 13 ,je huu ni ugonjwa gani tiba ni ipi.
 

Attachments

  • IMG_20250111_213942_930.jpg
    IMG_20250111_213942_930.jpg
    382.9 KB · Views: 4
habarini wana Jf,kuna mdogo wa mke amepata ugonjwa wa ajabu amekuwa ananyonyoka nywele kama mnavyoona yeye ni umri wa miaka 13 ,je huu ni ugonjwa gani tiba ni ipi.

Pole sana.

Hili ni tatizo la upara ambalo kitaalamu hujulikana kama Alopecia Areata.

Alopecia Areata husababishwa na kinga ya mwili kushambulia seli za nywele (autoimmune) hasa kichwani hivyo kusababisha nywele kunyonyoka.

Kwa hiyo ni muhimu aende hospitali ili akaonwe na daktari bingwa wa ngozi (dermatologist) kwa ajili ya uchunguzi na kupatiwa matibabu sahihi.

Kila la kheri.
 
Madaktari wa jf karibuni kwa maoni, dogo asijekua na dongo kama langu, maana mimi nywele hazijawah kuota kwenye hili bichwa.
 
nilijitahidi kuitafuta hiyo oitment mji nilipo lakini skufanikiwa ila wakashauri nitumie betamethasone cream ndo amemaliza ya kwanza kwa sasa lakin sioni changes
Duuh pole sana aisee,. Hospitali walisemaje kwani? Tatizo ni nini imesababisha hivyo
 
Back
Top Bottom