Nani anayepaswa hasa kumwambia mwenzie neno asante pindi wamalizapo kufanya tendo la Ndoa?

Wote wawili..ke atasema ''ahsante bwana'' na me atasema ''ahsante na ww bibieee, karibu tena" mwaaaaah, mara gemu linaanza tena, chezea ahsante ww......
 
Nijuavyo ni kwamba panapokuwa na huduma muhimu inayotolewa kwa Binadamu yoyote basi kiustaarabu tu na kwa kudumisha pia mila zetu za Kiafrika tulizoachiwa na Mababu na Mabibi zetu tunapashwa kuambiana asante au kushukuru.

Je pale ambapo ama Wapenzi wawili au Wachumba au Wanandoa wanapokuwa wanafanya tendo la Ndoa ( wakibanduana ) na wakishamaliza tu kusuuzana ni nani hasa hasa ndiyo anatakiwa kumwambia mwenzie neno la asante kwa huduma aliyoipata?

Naomba kuwasilisha na nitashukuru kwa majibu yenu.
inategemeana na nani alikua anaomba mech
kama men ndo umeita tim uwanjan basi lazma ushukuru mpinzan wako
and virse versa
bt kama imetokea wote mlikua na genye hamjaombana wala nn kila mtu atamshukuru mwenzake
 
Nijuavyo ni kwamba panapokuwa na huduma muhimu inayotolewa kwa Binadamu yoyote basi kiustaarabu tu na kwa kudumisha pia mila zetu za Kiafrika tulizoachiwa na Mababu na Mabibi zetu tunapashwa kuambiana asante au kushukuru.

Je pale ambapo ama Wapenzi wawili au Wachumba au Wanandoa wanapokuwa wanafanya tendo la Ndoa ( wakibanduana ) na wakishamaliza tu kusuuzana ni nani hasa hasa ndiyo anatakiwa kumwambia mwenzie neno la asante kwa huduma aliyoipata?

Naomba kuwasilisha na nitashukuru kwa majibu yenu.
 
Kwanza tuelewe kwamba uhusiano unaojengeka hapo si kama ule wa mtoaji na mpokeaji katika hali ya kawaida. Kwa hiyo, kama wengi walivyosema, wote wanaweza kusema asante, haijalishi nani ataanza.
 
Nijuavyo ni kwamba panapokuwa na huduma muhimu inayotolewa kwa Binadamu yoyote basi kiustaarabu tu na kwa kudumisha pia mila zetu za Kiafrika tulizoachiwa na Mababu na Mabibi zetu tunapashwa kuambiana asante au kushukuru.

Je pale ambapo ama Wapenzi wawili au Wachumba au Wanandoa wanapokuwa wanafanya tendo la Ndoa ( wakibanduana ) na wakishamaliza tu kusuuzana ni nani hasa hasa ndiyo anatakiwa kumwambia mwenzie neno la asante kwa huduma aliyoipata?

Naomba kuwasilisha na nitashukuru kwa majibu yenu.
Duu,,kuna maneno humu humu kwenye huu uzi yanatia ukwakwasi
 
Basi kama ni hivi nadhani Mimi siwaridhishi na pengine huwa ' nawaparaza ' tu Mkuu kwani tokea nibalehe miaka ile ya 60 hadi sasa sijawahi kuambiwa neno asante ila neno ninaloambiwa mara kwa mara ni ' unaniachaje naomba hela ya sabuni ' tu.
umenena kweli......!!??
 
Hebu tufanye analysis kidogo hapa tena kwa maisha haya ya JPM tena yanavyobana kama mwendokasi kwa mtu wa hali ya kawaida wa kuunga unga life, mwanaume kwanza kabununulia chips kuku 6,000, kabla ya hapo ulipofika hapo baa amekulipia bodaboda ya 2,000 ambayo umekuja nayo kutoka hapo kitaa, anashushia na bia 3 ambayo ni kama 7,500. Unakwenda kulipia gest self contained ili muwe huru zaidi hapo zimekutoka 25,000 zile za kiswazi. Mmepiga mechi na goli moja na dume ni sawa na kukumbia zaidi ya kilometer 8, ukiamka asb upo hoi. Asb unadiwa ela ya bodaboda 2,000 ela ya supu na chapati kam 5,000. Bado unadaiwa wanita ela ya sabuni unmtoa 10,000. Hapo hatujaweka budget yako ya usafiri, chakula, vinywaji, supu, umepoteza calories kibao nk. Hapo umekamuliwa jumla ya Tsh 50,000 alafu bado umwambie ASANTE, acheni basi uchizi wa makonda mazeee
 
Yeyote atakaeanza kusema ahsante ni sawa Tu...na mwenzie atasema asante pia mpenzi kwa sauti laini ya kimahaba
 
Back
Top Bottom