Nami namtafuta Anita Sizinga popote alipo tafazali aniPMnamtafuta John Njau popote pale ulipo nicheki pm
Namtafuta Grace Chilambo nilimuacha Cheyo A primary school
mweh mweh mmechakachuaje
ukishaona mweh ujue wa kule MBY
....mmmh!!mwakinembe,mwakatombwe!!!!haya nayo majina aissss!!Mi nawatafuta john mwakinembe na peter mwakatombwe tumesoma nao mbeya school
Namtafuta JULIANA SHONZA alikuwa demu wangu tukiwa advance!
Nimepata taarifa kuwa ameingia kwenye siasa!
Anayejua aliko aniPM wapendwa!