Nampenda ila ananitesa sana, nakonda kisa Mapenzi

Dada nampenda sana ila naumwa kula sili namuwaza hata kulala silali,kunakimpindi nilimtuhumu kama kaniendea kwa mganga akaniambia asiende kuwaroga wabunge aje aniroge Mimi?


Hebu nipe mawasiliano yake anisaidie kumloga mtu fidenge hivi!!!
[/QUOTE]
😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom