Namna ya kuepuka kuchukuliwa msukule

Zipo njia kuu saba za kuzuia kuchukuliwa msukule.

Kwa sababu za kimaadili, nitaelezea njia moja tu. Mganga atakuchukua kwa ajili ya kufanya tambiko maalumu la kinga ya kukuzuia kuchukuliwa msukule.

Tambiko hilo litafanyika kati ya saa nne asubuhi handi saa saba mchana au kati ya saa tisa alasiri hadi saa kumi na moja jioni.

Utasimama juani, na kunyoosha mikono yako upande wa kulia na kushoto, mganga atachota nyayo za mikono yako, miguu yako na kichwa chako kwenye kimvuli chako, kisha atauchanganya na dawa mbalimbali ambazo idadi yake inafika kumi na tatu, halafu baada ya hapo ataweka mchanga pamoja na dawa zlizochanganywa na mchanga kwenye nyumba ya konokono, halafu atafungwa kwa kitambaa maalumu na kisha kuhifadhiwa sehemu maalumu.

Kwa tambiko hili, wachawi hawawezi kukuchukua msukule, watakuwa wakikutazama kwenye dira zao hawakuoni.
Hakuna NAMNA yoyote uliyotufundisha hapo
 
Zipo njia kuu saba za kuzuia kuchukuliwa msukule.

Kwa sababu za kimaadili, nitaelezea njia moja tu. Mganga atakuchukua kwa ajili ya kufanya tambiko maalumu la kinga ya kukuzuia kuchukuliwa msukule.

Tambiko hilo litafanyika kati ya saa nne asubuhi handi saa saba mchana au kati ya saa tisa alasiri hadi saa kumi na moja jioni.

Utasimama juani, na kunyoosha mikono yako upande wa kulia na kushoto, mganga atachota nyayo za mikono yako, miguu yako na kichwa chako kwenye kimvuli chako, kisha atauchanganya na dawa mbalimbali ambazo idadi yake inafika kumi na tatu, halafu baada ya hapo ataweka mchanga pamoja na dawa zlizochanganywa na mchanga kwenye nyumba ya konokono, halafu atafungwa kwa kitambaa maalumu na kisha kuhifadhiwa sehemu maalumu.

Kwa tambiko hili, wachawi hawawezi kukuchukua msukule, watakuwa wakikutazama kwenye dira zao hawakuoni.
Samahani kidugu naenda nje ya mada.Tupe faida na hasara za misukule which is evidence based pleeeease.ndiyo tujue kama tunataka hayo mazindiko yako.
 
Kwani kuna Mtu anaebisha kuwa uchawi na ushirikina unarudisha maendeleo ya Watu nyuma? Iko hivi; mchawi yeyote lazima kwanza awe roho ya HUSDA kwa kiwango cha Juu sana hiyo Ndiyo tabia ya msingi Kabisa ya mchawi yeyote! Husna ni Ile hali ya wivu mbaya sana kwa kiwango cha Juu sana pamoja Na chuki! Mchawi huwa hafurahii furaha au mafanikio ya Mtu mwingine ! Mchawi hapendi Mtu afaulu masomo shuleni, hapendi kusikia Mtu amejenga Nyumba , hapendi kuona Mtu kanunua Gari , hapendi kuona Mtu kavaa vizuri au anakula vizuri, n.k Na jaribu kuangalia maeneo ambayo yanasifika kwa uchawi Na ushirikina wana maisha duni sana, ukilima shamba likatoa mavuno mchawi hapendi, ktk TZ maeneo ambayo hayana sana mambo ya uchawi Na ushirikina Ndiyo yenye afazali ya maendeleo Kama vile Kilimanjaro Na Dar es salaam!
 
Ulimwengu wa roho kivipi? Ni kama ni mambo ya kiroho Konokono unaotumia na vitu vingine physical vinaathiri vipi hiyo roho?Wewe unazindika mwili au roho? Kama ni mambo ya kiroho mbona hujazindika watu wakaacha wizi,uvivu? Mbona hujazindika mashoga waache ushoga? Kama kweli wewe unaamini Kipande cha Nazi kina nguvu za pekee mbona hujakitumia kutengenezea watu waache ufisadi wa mali za umma.Kama una uwezo kama huo kwa nini usipeleke Proposal kama hiyo kwa Magufuli ili akupe kazi ya kumsaidia "kutumbua" mafisadi kiroho? Huoni kama ukifanikisha hilo Magufuli atakulipa mamilioni ya pesa na atakuwa amekusaidia kukutangaza kwenye soko kubwa ulimwenguni? Hebu tueleze vizuri hayo mambo ya rohoni yana uhusiano gani na mambo ya mwili moja kwa moja kiasi kwamba hirizi ikiwekwa mguuni basi mtu hata akikatwa panga basi linadunda tu.
Bwana mkubwa jaribu kupitia vitabu kidogo[/QUOTE]


Mkuu nisome vitabu? Kwani ukweli wa uchawi na mauzauza ya dawa za Waganga kama ninyi uko vitabuni au kwenye matokeo na ufanisi wa imani yenyewe? Kwa taarifa yako vitabu vingi vinaeleza mambo ya hadithi (mapokeo ya masimulizi) tu juu ya uchawi.Hakuna mwandishi hata mmoja ambaye ameweza kueleza kwa tafiti juu ya ukweli wa uchawi! Nakuhakikishia waandishi wa mambo ya uchawi ni watafuta pesa tu.Waliona soko la watu wajinga na wakaamua ku-capitalize.
 
Kwani kuna Mtu anaebisha kuwa uchawi na ushirikina unarudisha maendeleo ya Watu nyuma? Iko hivi; mchawi yeyote lazima kwanza awe roho ya HUSDA kwa kiwango cha Juu sana hiyo Ndiyo tabia ya msingi Kabisa ya mchawi yeyote! Husna ni Ile hali ya wivu mbaya sana kwa kiwango cha Juu sana pamoja Na chuki! Mchawi huwa hafurahii furaha au mafanikio ya Mtu mwingine ! Mchawi hapendi Mtu afaulu masomo shuleni, hapendi kusikia Mtu amejenga Nyumba , hapendi kuona Mtu kanunua Gari , hapendi kuona Mtu kavaa vizuri au anakula vizuri, n.k Na jaribu kuangalia maeneo ambayo yanasifika kwa uchawi Na ushirikina wana maisha duni sana, ukilima shamba likatoa mavuno mchawi hapendi, ktk TZ maeneo ambayo hayana sana mambo ya uchawi Na ushirikina Ndiyo yenye afazali ya maendeleo Kama vile Kilimanjaro Na Dar es salaam!
Tutaandaa uzi kuhusu ili
 
Kwa nini upate shida zote hizo?Believe in Jesus Christ and you will be safe.Hayo yote uliyoandika ni ngonjera tu mkuu na utapeli.
Zipo njia kuu saba za kuzuia kuchukuliwa msukule.

Kwa sababu za kimaadili, nitaelezea njia moja tu. Mganga atakuchukua kwa ajili ya kufanya tambiko maalumu la kinga ya kukuzuia kuchukuliwa msukule.

Tambiko hilo litafanyika kati ya saa nne asubuhi handi saa saba mchana au kati ya saa tisa alasiri hadi saa kumi na moja jioni.

Utasimama juani, na kunyoosha mikono yako upande wa kulia na kushoto, mganga atachota nyayo za mikono yako, miguu yako na kichwa chako kwenye kimvuli chako, kisha atauchanganya na dawa mbalimbali ambazo idadi yake inafika kumi na tatu, halafu baada ya hapo ataweka mchanga pamoja na dawa zlizochanganywa na mchanga kwenye nyumba ya konokono, halafu atafungwa kwa kitambaa maalumu na kisha kuhifadhiwa sehemu maalumu.

Kwa tambiko hili, wachawi hawawezi kukuchukua msukule, watakuwa wakikutazama kwenye dira zao hawakuoni.
 
Back
Top Bottom