KERO Namna Vipeperushi vya Matangazo vinavyochafua mazingira

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Habari mimi ni Mdau wa Jamii Forums kutoka Arusha.

Naomba utusaidie kupaza sauti dhidi ya watu wanaochafua mazingira na mabango haya kwan wao baada ya kumaliza mikutano yao huwa hawana utaratibu wa kurudi kusafisha maeneo wanayoyachafua.

Wabandikaji wa mabango haya wamekuwa wakiyabandika bila ustaarabu wowote ule..
IMG_0223.jpeg


Mamlaka husika ziangalie utaratibu wa kudhibiti uchafuzi huu kwani Jiji letu ni jiji la kitalii halipendezi na huu uchafuzi unaofanywa.

Ahsante.
 
Habari mimi ni Mdau wa Jamii Forums kutoka Arusha.

Naomba utusaidie kupaza sauti dhidi ya watu wanaochafua mazingira na mabango haya kwan wao baada ya kumaliza mikutano yao huwa hawana utaratibu wa kurudi kusafisha maeneo wanayoyachafua.

Wabandikaji wa mabango haya wamekuwa wakiyabandika bila ustaarabu wowote ule..
View attachment 2991762
View attachment 2991768

Mamlaka husika ziangalie utaratibu wa kudhibiti uchafuzi huu kwani Jiji letu ni jiji la kitalii halipendezi na huu uchafuzi unaofanywa.

Ahsante.
Uchafu na Umaskini ni mtu na ndugu
 
Watu wa graphcs tunasema mtu anaweza kukosa visual attraction...

Bora sehemu kama hiyo angeweka hata bango lake moja la mita 2 kwa 1
Ingekua vizuri sana
 
Vipeperushi bila kuwa na udhibiti maalumu ni uchafu na sio Arusha tu sehemu yeyote ile. Utakuta vipeperushi vingine vinabandikwa holela mahali popote pale, kwenye nguzo ya umeme, ukutani wa nyumba ya MTU au barabarani kwenye kingo nknk . Huu ni uchafu.
 
Back
Top Bottom