Namna 'Royal Tour' ilivyoikoa sekta ya utalii kutoka ICU

Getrude Mollel

JF-Expert Member
Apr 26, 2022
259
353
Mwaka 2022 sekta ya utalii nchi iliimarika zaidi baada ya Mheshimiwa Rais Samia Suluhu kucheza na kuzindua filamu ya Tanzania: Royal Tour.

Hii ilikuwa ni mara ya kwanza kabisa katika historia ya Taifa letu, ambapo Rais anacheza filamu nzima, tena kama muhusika mkuu katika harakati za kuendeleza sekta ya utalii.

Katika ya utalii ni sekta ni muhimu sana kwenye uchumi wa Taifa letu, ni sekta ya kuvalia njuga hasa kwani ni sekta ambayo inaliingizia Taifa dola bilioni 2 za kimarekani kwa mwaka, sawa ni Tsh trilioni 4.6 za kitanzania.

Kupitia filamu hii, Tanzania itazamia kupokea watalii milioni tano kwa mwaka ifikapo 2025 kutoka watalii takribani milioni mbili kwa sasa. Pia Tanzania inategemea kuingia USD bilioni 6 kwa mwaka, sawa na Tsh 13.8 za kitanzania kwa mwaka, kutoka trilioni 4.6 kwa sasa.

Idara ya Takwimu ya Taifa (NBS) inaonesha kati ya Jan - Oct 2022 watalii 1,175,697 wameingia nchini, tofauti na watalii 716,741 wa kipindi kama hicho mwaka 2021, ambapo ongezeko hilo ni sawa na 64%.

NBS inasadiki ya kwamba ongezeko la watalii nchini ni matokeo ya filamu ya Royal Tour, mfano kwa mwezi Octoba 2022 tu, walii walioingia nchini walikuwa ni 141,517 tofauti na 92,345 kipindi kama hicho 2021, ambapo ni sawa na 53.2%.

Kutoka Ulaya, Tanzania imepokea watalii wengi zaidi kutoka Ufaransa (12,553), Marekani (9,097), Germany 98,874), UK (6,614) na Italy (4,557).

Watalii hao katika mahojiano mbalimbali wakisadiki ya kwamba wao ni mara ya kwanza kuingia Tanzania, na wamevutiwa zaidi kutembelea Tanzania baada ya kutazama filamu ya Royal Tour.

Filamu ya Royal Tour bado inazidi kuoneshwa katika kumbi za sinema kwenye mataifa mbalimbali, huko mabalozi wetu wanafanya kazi kubwa kuhakikisha hilo. Sept 2022 ilioneshwa Sweden, na inazidi kuoneshwa zaidi kwenye nchi za Scandinavia.

Pia inatarajiwa kuanza kuoneshwa kwenye nchi kama Latvia, Finland, Denmark, Iceland, Lithuania, Estonia na nyingine nyingi za bara la Ulaya.

Filamu ya Royal Tour ni legacy ya Rais Samia Suluhu itakayoishi milele, faida zake hazitoishia kwakwe tu, bali hata kwa viongozi wajao, watakuwa na wepesi katika kuutangaza utalii wetu, kwani barabara imara itakuwa tayari imeshachongwa mtangulizi wao, Mh Rais Samia Suluhu.
 

Attachments

  • Tanzania-Royal-Tour-documentary-780x470.png
    Tanzania-Royal-Tour-documentary-780x470.png
    141.9 KB · Views: 5
Africa bwana. Utalii wa asili unajitangaza wenyewe ila leo mtu anajitokeza kuforce hapa.
Nakuuliza maswali haya !
Mlima mkubwa hupo wapi africa!
ina maana dunia nzima kwa karne hii atangaze mtu mmoja ndio utalii unaongezeka
 
Africa bwana. Utalii wa asili unajitangaza wenyewe ila leo mtu anajitokeza kuforce hapa.
Nakuuliza maswali haya !
Mlima mkubwa hupo wapi africa!
ina maana dunia nzima kwa karne hii atangaze mtu mmoja ndio utalii unaongezeka
Tanzania haina mlima mkubwa Afrika, bali ina mlima mrefu. Mlima unaweza ukawa mkubwa lakini usiwe mrefu. Hakuna anaye force, nimeleta facts na trajectory ya namba kutoka muda fulani hadi muda fulani, kama una hoja madhubuti, leta tafadhali sipendi hoja nyepesi, kubwa objective tafadhali..
 
Mwaka 2022 sekta ya utalii nchi iliimarika zaidi baada ya Mheshimiwa Rais Samia Suluhu kucheza na kuzindua filamu ya Tanzania: Royal Tour.

Hii ilikuwa ni mara ya kwanza kabisa katika historia ya Taifa letu, ambapo Rais anacheza filamu nzima, tena kama muhusika mkuu katika harakati za kuendeleza sekta ya utalii.

Katika ya utalii ni sekta ni muhimu sana kwenye uchumi wa Taifa letu, ni sekta ya kuvalia njuga hasa kwani ni sekta ambayo inaliingizia Taifa dola bilioni 2 za kimarekani kwa mwaka, sawa ni Tsh trilioni 4.6 za kitanzania.

Kupitia filamu hii, Tanzania itazamia kupokea watalii milioni tano kwa mwaka ifikapo 2025 kutoka watalii takribani milioni mbili kwa sasa. Pia Tanzania inategemea kuingia USD bilioni 6 kwa mwaka, sawa na Tsh 13.8 za kitanzania kwa mwaka, kutoka trilioni 4.6 kwa sasa.

Idara ya Takwimu ya Taifa (NBS) inaonesha kati ya Jan - Oct 2022 watalii 1,175,697 wameingia nchini, tofauti na watalii 716,741 wa kipindi kama hicho mwaka 2021, ambapo ongezeko hilo ni sawa na 64%.

NBS inasadiki ya kwamba ongezeko la watalii nchini ni matokeo ya filamu ya Royal Tour, mfano kwa mwezi Octoba 2022 tu, walii walioingia nchini walikuwa ni 141,517 tofauti na 92,345 kipindi kama hicho 2021, ambapo ni sawa na 53.2%.

Kutoka Ulaya, Tanzania imepokea watalii wengi zaidi kutoka Ufaransa (12,553), Marekani (9,097), Germany 98,874), UK (6,614) na Italy (4,557).

Watalii hao katika mahojiano mbalimbali wakisadiki ya kwamba wao ni mara ya kwanza kuingia Tanzania, na wamevutiwa zaidi kutembelea Tanzania baada ya kutazama filamu ya Royal Tour.

Filamu ya Royal Tour bado inazidi kuoneshwa katika kumbi za sinema kwenye mataifa mbalimbali, huko mabalozi wetu wanafanya kazi kubwa kuhakikisha hilo. Sept 2022 ilioneshwa Sweden, na inazidi kuoneshwa zaidi kwenye nchi za Scandinavia.

Pia inatarajiwa kuanza kuoneshwa kwenye nchi kama Latvia, Finland, Denmark, Iceland, Lithuania, Estonia na nyingine nyingi za bara la Ulaya.

Filamu ya Royal Tour ni legacy ya Rais Samia Suluhu itakayoishi milele, faida zake hazitoishia kwakwe tu, bali hata kwa viongozi wajao, watakuwa na wepesi katika kuutangaza utalii wetu, kwani barabara imara itakuwa tayari imeshachongwa mtangulizi wao, Mh Rais Samia Suluhu.

kama royol tour ilileta faida or not then tutajua mwaka huu

because the time Royol tour inafanyika tayari 95% ya wageni walikuwa wameshalipia hotel na malazi kwa ajili ya kuja

kama tunavyojua wazungu wengi huwa wanafanya booking miezi sita kabla ya safari, mfano now booking za high peak ya mwez wa nane na tisa tayari zimeanza

so sifa za royol tour tuziweke kwanza
 
Kama umetazama Royal Tour kwenye Amazon+ ukasoma na reviews, ndio utajua namna gani watu wamevutika kuja Tanzania baada ya Royal Tour. Bila kificho tena kwa facts kabisa, Royal Tour imesaidia sana kuongeza idadi ya watalii, kuna ongezeko la asilimia zaidi ya 60% kati ya Jan - Oct 2022, sasa hapo unataka kusema wote hao wali book kabla?
 
Kama umetazama Royal Tour kwenye Amazon+ ukasoma na reviews, ndio utajua namna gani watu wamevutika kuja Tanzania baada ya Royal Tour. Bila kificho tena kwa facts kabisa, Royal Tour imesaidia sana kuongeza idadi ya watalii, kuna ongezeko la asilimia zaidi ya 60% kati ya Jan - Oct 2022, sasa hapo unataka kusema wote hao wali book kabla?

uko kwenye secta ya utalii? au unaongea tu kujifurahisha?

mambo ambayo yanaitaji fact better ukafanya research usije kuonekana unaongea pumba tu

niko kwenye hiyo secta so najua what im talking

98% ya wageni ambao wanakuja tanzania walifanya maamuzi ya kuja 2yrs Back and not mwez mmoja au week moja kama ww unavyoamua kwenda kwenu

lengo lako ni kusifia sasa kama unataka kusifia kitu usijifanye mjuaji
 
Kama umetazama Royal Tour kwenye Amazon+ ukasoma na reviews, ndio utajua namna gani watu wamevutika kuja Tanzania baada ya Royal Tour. Bila kificho tena kwa facts kabisa, Royal Tour imesaidia sana kuongeza idadi ya watalii, kuna ongezeko la asilimia zaidi ya 60% kati ya Jan - Oct 2022, sasa hapo unataka kusema wote hao wali book kabla?

na wageni wengi waliongezeka ni wale ambao walipanga kuja but mambo ya covid yakazuia so after mashart ya covid kupungua wagen wengi waka resume safari zao
 
na wageni wengi waliongezeka ni wale ambao walipanga kuja but mambo ya covid yakazuia so after mashart ya covid kupungua wagen wengi waka resume safari zao
How can you be sure of that? Unasemaga tu wengi, huna reference wala objective evidence, 100% ya hoja yako ni hisia tu, unahisi ni hivyo and you cannot prove, sasa unadhani nani atakuamini?
 
uko kwenye secta ya utalii? au unaongea tu kujifurahisha?

mambo ambayo yanaitaji fact better ukafanya research usije kuonekana unaongea pumba tu

niko kwenye hiyo secta so najua what im talking

98% ya wageni ambao wanakuja tanzania walifanya maamuzi ya kuja 2yrs Back and not mwez mmoja au week moja kama ww unavyoamua kwenda kwenu

lengo lako ni kusifia sasa kama unataka kusifia kitu usijifanye mjuaji
98%? umepata wapi hiyo taarifa, kwa sababu hiyo ni namba na maamini mpaka umeiandika maana yake unaweza kuitete.

Kufanya kazi kwenye sekta ya utalii haikupi kibali cha kuzungumzia utalii, isipokuwa uwe na hoja, mimi nimefanya utafiti ndio maana nimeweka hapo kwa facts na taarifa za NBS, wewe unatumia baseline gani kuonesha hiyo 98%?

Haya unasema 98% ya watalii wote, hapo kwanza nicheke.. Ina maana kampuni yenu hiyo ya utalii imepokea watalii wote hao 98%?

Mimi nimeandika kwa facts, hata ukitaka source nakupa, niambie wewe 98% umeitoa wapi? Acha ujinga, siko hapa kusifu bali kutoa taarifa, na kupiga taarifa yangu, tafadhali kasome uje.
 
Mwaka 2022 sekta ya utalii nchi iliimarika zaidi baada ya Mheshimiwa Rais Samia Suluhu kucheza na kuzindua filamu ya Tanzania: Royal Tour.

Hii ilikuwa ni mara ya kwanza kabisa katika historia ya Taifa letu, ambapo Rais anacheza filamu nzima, tena kama muhusika mkuu katika harakati za kuendeleza sekta ya utalii.

Katika ya utalii ni sekta ni muhimu sana kwenye uchumi wa Taifa letu, ni sekta ya kuvalia njuga hasa kwani ni sekta ambayo inaliingizia Taifa dola bilioni 2 za kimarekani kwa mwaka, sawa ni Tsh trilioni 4.6 za kitanzania.

Kupitia filamu hii, Tanzania itazamia kupokea watalii milioni tano kwa mwaka ifikapo 2025 kutoka watalii takribani milioni mbili kwa sasa. Pia Tanzania inategemea kuingia USD bilioni 6 kwa mwaka, sawa na Tsh 13.8 za kitanzania kwa mwaka, kutoka trilioni 4.6 kwa sasa.

Idara ya Takwimu ya Taifa (NBS) inaonesha kati ya Jan - Oct 2022 watalii 1,175,697 wameingia nchini, tofauti na watalii 716,741 wa kipindi kama hicho mwaka 2021, ambapo ongezeko hilo ni sawa na 64%.

NBS inasadiki ya kwamba ongezeko la watalii nchini ni matokeo ya filamu ya Royal Tour, mfano kwa mwezi Octoba 2022 tu, walii walioingia nchini walikuwa ni 141,517 tofauti na 92,345 kipindi kama hicho 2021, ambapo ni sawa na 53.2%.

Kutoka Ulaya, Tanzania imepokea watalii wengi zaidi kutoka Ufaransa (12,553), Marekani (9,097), Germany 98,874), UK (6,614) na Italy (4,557).

Watalii hao katika mahojiano mbalimbali wakisadiki ya kwamba wao ni mara ya kwanza kuingia Tanzania, na wamevutiwa zaidi kutembelea Tanzania baada ya kutazama filamu ya Royal Tour.

Filamu ya Royal Tour bado inazidi kuoneshwa katika kumbi za sinema kwenye mataifa mbalimbali, huko mabalozi wetu wanafanya kazi kubwa kuhakikisha hilo. Sept 2022 ilioneshwa Sweden, na inazidi kuoneshwa zaidi kwenye nchi za Scandinavia.

Pia inatarajiwa kuanza kuoneshwa kwenye nchi kama Latvia, Finland, Denmark, Iceland, Lithuania, Estonia na nyingine nyingi za bara la Ulaya.

Filamu ya Royal Tour ni legacy ya Rais Samia Suluhu itakayoishi milele, faida zake hazitoishia kwakwe tu, bali hata kwa viongozi wajao, watakuwa na wepesi katika kuutangaza utalii wetu, kwani barabara imara itakuwa tayari imeshachongwa mtangulizi wao, Mh Rais Samia Suluhu.
Bora ungetafuta cha kuandika badala ya huu uchawa usio na ukweli hata 25%!

Sekta ya utalii ilifunguka baada ya Covid19 kupunguza makali yake!

Na hapo awali wageni wengi walikwishalipia safari zao,kabla ya katizo la covid19.

Hivyo ilipofunguka wote walimiminika kuja nchini wakiwa katika makundi mawili.ambayo ni..
Wale waliokuwa wamelipa awali bila kuchukuwa pesa zao.
Na wale waliokuwa wanakuja kurekebisha akili zao baada ya quarantine ya muda mrefu huko makwao.

Mataifa yaliyoongoza kwa kuja nchini ikuwa ni Russia na Ukraine kabla ya vita kuanza.

Na hata ushahidi ni pale baadhi yao walipokwama Zanzibar kwa miezi kadhaa baada ya vita kuanza huko Ukraine.

Mpaka Royal tour inazinduliwa na Peter huko USA. Warusi na wa Ukraine walikuwa wakiendelea kumwagika.

Kundi la pili ni la Waisrael wa kundi la "Shromo" almaarufu kama "Another World" wao mpaka sasa wanaendelea kuja na madege yao yakiwasubiri pale KIA.

Hiyo Impact yako ya Royal Tour sijui umeitolea wapi?

TTB wao wanatoa rekodi bila kutaja vyanzo vya wageni hao,ukiwa ni mtindo endelevu wa uchawa uliokomaa nchi hii.

Mpaka sasa mataifa yanayoongoza kwa kuingiza wageni nchi sio Marekani.

Ni wajerumani, waspanniola,na mataifa mengineyo.

Ukitaka Data za ukweli nenda kwa Tour Operators watakueleza na kukusaidia ili ukamilishe azna yako.

Getrude Mollel Njoo tukutane kule Ngoitoktok Picnic Site nikupe Data vizuri
20221103_104429_remastered.jpg
 
98%? umepata wapi hiyo taarifa, kwa sababu hiyo ni namba na maamini mpaka umeiandika maana yake unaweza kuitete.

Kufanya kazi kwenye sekta ya utalii haikupi kibali cha kuzungumzia utalii, isipokuwa uwe na hoja, mimi nimefanya utafiti ndio maana nimeweka hapo kwa facts na taarifa za NBS, wewe unatumia baseline gani kuonesha hiyo 98%?

Haya unasema 98% ya watalii wote, hapo kwanza nicheke.. Ina maana kampuni yenu hiyo ya utalii imepokea watalii wote hao 98%?

Mimi nimeandika kwa facts, hata ukitaka source nakupa, niambie wewe 98% umeitoa wapi? Acha ujinga, siko hapa kusifu bali kutoa taarifa, na kupiga taarifa yangu, tafadhali kasome uje.

Hunasifia kitu ambacho hujui
Unaongea fact za kwenye makaratasi na sio fact za site

Njoo site ukutane na wageni na uongee nao watakwambia hiko ninachokwambia

And sifanyi kazi kwenye kampuni ya utalii so ujue najua what I'm talking about

Fanya simple research Tu, ww si uko Arusha, nenda kafanye booking ya mwez wa nane mpaka wa kumi mwaka huu then utapata majibu

Au check airlines ambazo zinaleta watalii Sana Fanya kama unakata ticket huone Acha ubishi Kwa kutaka kuonekana unasifia kitu


Royol tour ni mzuri na nimeshiri kote kote ila matunda yake yatakuja mwaka huu
 
Bora ungetafuta cha kuandika badala ya huu uchawa usio na ukweli hata 25%!

Sekta ya utalii ilifunguka baada ya Covid19 kupunguza makali yake!

Na hapo awali wageni wengi walikwishalipia safari zao,kabla ya katizo la covid19.

Hivyo ilipofunguka wote walimiminika kuja nchini wakiwa katika makundi mawili.ambayo ni..
Wale waliokuwa wamelipa awali bila kuchukuwa pesa zao.
Na wale waliokuwa wanakuja kurekebisha akili zao baada ya quarantine ya muda mrefu huko makwao.

Mataifa yaliyoongoza kwa kuja nchini ikuwa ni Russia na Ukraine kabla ya vita kuanza.

Na hata ushahidi ni pale baadhi yao walipokwama Zanzibar kwa miezi kadhaa baada ya vita kuanza huko Ukraine.

Mpaka Royal tour inazinduliwa na Peter huko USA. Warusi na wa Ukraine walikuwa wakiendelea kumwagika.

Kundi la pili ni la Waisrael wa kundi la "Shromo" almaarufu kama "Another World" wao mpaka sasa wanaendelea kuja na madege yao yakiwasubiri pale KIA.

Hiyo Impact yako ya Royal Tour sijui umeitolea wapi?

TTB wao wanatoa rekodi bila kutaja vyanzo vya wageni hao,ukiwa ni mtindo endelevu wa uchawa uliokomaa nchi hii.

Mpaka sasa mataifa yanayoongoza kwa kuingiza wageni nchi sio Marekani.

Ni wajerumani, waspanniola,na mataifa mengineyo.

Ukitaka Data za ukweli nenda kwa Tour Operators watakueleza na kukusaidia ili ukamilishe azna yako.

Getrude Mollel Njoo tukutane kule Ngoitoktok Picnic Site nikupe Data vizuriView attachment 2472024


Huyu anasifia kuonekana anasifia Tu ila ni mweupe kichwani

Ingekuwa Royol tour imefanya vizuri basi wamarekani wangekuwa like 50% ya wageni waliokuja
 
Africa bwana. Utalii wa asili unajitangaza wenyewe ila leo mtu anajitokeza kuforce hapa.
Nakuuliza maswali haya !
Mlima mkubwa hupo wapi africa!
ina maana dunia nzima kwa karne hii atangaze mtu mmoja ndio utalii unaongezeka
Rais siyo mtu moja ndugu yangu. Fikiri zaidi
 
uko kwenye secta ya utalii? au unaongea tu kujifurahisha?

mambo ambayo yanaitaji fact better ukafanya research usije kuonekana unaongea pumba tu

niko kwenye hiyo secta so najua what im talking

98% ya wageni ambao wanakuja tanzania walifanya maamuzi ya kuja 2yrs Back and not mwez mmoja au week moja kama ww unavyoamua kwenda kwenu

lengo lako ni kusifia sasa kama unataka kusifia kitu usijifanye mjuaji
Research? We unajua kweli maana ya research. Takwimu zinatolewa kila mara na mamlaka halali za serikali research gani tena wakati data tunapewa. Hata we ukihitaji ku-prove nenda kwenye maeneo yenye circuit za utalii ujionee yaani hiyo itakuwa mojawapo ya data collectio tool. ubishi usio na msingi ni sifa mbaya sana get rid of it.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
98%? umepata wapi hiyo taarifa, kwa sababu hiyo ni namba na maamini mpaka umeiandika maana yake unaweza kuitete.

Kufanya kazi kwenye sekta ya utalii haikupi kibali cha kuzungumzia utalii, isipokuwa uwe na hoja, mimi nimefanya utafiti ndio maana nimeweka hapo kwa facts na taarifa za NBS, wewe unatumia baseline gani kuonesha hiyo 98%?

Haya unasema 98% ya watalii wote, hapo kwanza nicheke.. Ina maana kampuni yenu hiyo ya utalii imepokea watalii wote hao 98%?

Mimi nimeandika kwa facts, hata ukitaka source nakupa, niambie wewe 98% umeitoa wapi? Acha ujinga, siko hapa kusifu bali kutoa taarifa, na kupiga taarifa yangu, tafadhali kasome uje.
National Bureau of Statistics hawana fact kamili za vyanzo vya wageni.
Wao wanakokotoa kutoka kwenye entry points za wageni kama airports na border points.

Hawawezi kujua rasmi nini chanzo cha connection ya hao wageni.

Mtu anayefanya kwenye sekta husika anao uelewa mkubwa wa haya mambo kuliko hao NBS wako,ambao hata Zitto alikwisha waumbua.

Issue hapa sio Wingi wa wageni,bali chanzo cha wageni.

Haiwezekani nchi imejaa waisrael,wajerumani,wafaransa na waingereza kiduchu na hao Americans.
Wewe ukimbilie kuiunganisha na Royal Tour yenu.

Kwanza Royal Tour ili fail ku- perform sababu mama yenu aliacha wataalamu nyuma akajaza kina Abbas,Msigwa na Yunus.
Badala ya watu wa "Mweka College of African Wildlife Management" na "TATO"

Badala ya kwenda na wadau wenyewe wamsaidie kwenye Interview za Royal Tour kwenye zinduzi zake.

Punguzeni U-chawa jamani.

Wakati mnaisifia Royal Tour,unajua hali ya miundombinu ya barabara ilivyoharibika huko mbugani huku serikali ikikaa kimya.

Unajua hata idadi ya watalii waliopoteza maisha yao mpaka sasa kutokana na ajali za Barabarani kutokana na ubovu wake.
Hasa Serengeti?
 
Research? We unajua kweli maana ya research. Takwimu zinatolewa kila mara na mamlaka halali za serikali research gani tena wakati data tunapewa. Hata we ukihitaji ku-prove nenda kwenye maeneo yenye circuit za utalii ujionee yaani hiyo itakuwa mojawapo ya data collectio tool. ubishi usio na msingi ni sifa mbaya sana get rid of it.

Unaelewa hoja yetu hapa ni nn?
Wageni wamekuja yes, warussua na Israel wapo kibao yes hakuna ubishi

But hawajashawishiwa na royol tour hoja Iko hapo


Research za Africa ni za kusifia hata visivyo sifika

Nenda site then uone
 
Back
Top Bottom