Sikuzote usiombe utajiri kwa mwenyezi mungu omba akupe Hekma na busara na Imani,mengine yatafata..Hii yote inatokana na ye kuwa king'ang'aniz kwangu,nimemuumiza vya kutosha ila ye hatak kunielewa,mwishowe nimeamua kumchukulia kama chombo cha starehe 2.cjui ka nakosea wakuu?
Kumbe wewe ni paul eeeehHamna ktu naheshmu kama mapenz , nilishamfanyia mtu ujinga sababu nilijua ananipenda, alilia binti wa watu siku nne kula hali mpaka wenzake wamuombe, mara ya mwisho kukutana nae aliniulza maswal paul umeshawah kupenda nikamwambia ndio akakataa akasema ungekuwa umeshawah penda usingenifanyia hv ungejua wat i feel! nkampuuzia sema aliniachia ka laana hv akaniambia utakuja kpata nilichopata, tukaachana , sa hv naugua hapa na mm nimeachwa! daa haya mapnz bac
safi saaanaHamna ktu naheshmu kama mapenz , nilishamfanyia mtu ujinga sababu nilijua ananipenda, alilia binti wa watu siku nne kula hali mpaka wenzake wamuombe, mara ya mwisho kukutana nae aliniulza maswal paul umeshawah kupenda nikamwambia ndio akakataa akasema ungekuwa umeshawah penda usingenifanyia hv ungejua wat i feel! nkampuuzia sema aliniachia ka laana hv akaniambia utakuja kpata nilichopata, tukaachana , sa hv naugua hapa na mm nimeachwa! daa haya mapnz bac
Hii yote inatokana na ye kuwa king'ang'aniz kwangu,nimemuumiza vya kutosha ila ye hatak kunielewa,mwishowe nimeamua kumchukulia kama chombo cha starehe 2.cjui ka nakosea wakuu?
Hapo kuna tofauti kama upo kwenye mahusiano nao utakuwa unafanya vibaya ila kama wanakufukuzia na huwapendi yaani hujawapa nafasi ya kuwa na uhusiano nao hapo sawa.Plz, sio kuchezea bahati. Huyo kaka ubaya wake ni kuendelea kuzini na mtu asiyempenda na asiye mke wake. Kitendo hcho ni cha kikatili kabisa. Hastahili kuwa binadamu.
Lakini hoja yangu ni hii tena kwa mifano;
Kuna wanaume wawili walijitokeza kwangu, tena wote wakiwa na lengo la kuoa. Bt kwa wakati tofautitofauti,, lakini hakuna hata mmoja niliyempenda, naposema walinipenda kwa dhati namaanisha. Walijitahidi kunifanya nifurahi muda wote lakini hakuna hata cku niliyompenda mmoja wakati wapo.
Cjui kwann lakini moyo wangu ulikua mbali sana na Hawa watu.
Sasa, ukisema hupaswi kumwacha mtu aliyekupenda kwa dhati, mie ningemchagua nani jamani? Nawezaje kujilazimisha niolewe na nisiyempenda eti kwa sababu yy ana upendo Wa dhati kwangu????
Amekoleza na kumkojoza juuunaonekana umemkoleza sana
ila Mungu hapendi..!!!!
uliyenaye anakupenda?Plz, sio kuchezea bahati. Huyo kaka ubaya wake ni kuendelea kuzini na mtu asiyempenda na asiye mke wake. Kitendo hcho ni cha kikatili kabisa. Hastahili kuwa binadamu.
Lakini hoja yangu ni hii tena kwa mifano;
Kuna wanaume wawili walijitokeza kwangu, tena wote wakiwa na lengo la kuoa. Bt kwa wakati tofautitofauti,, lakini hakuna hata mmoja niliyempenda, naposema walinipenda kwa dhati namaanisha. Walijitahidi kunifanya nifurahi muda wote lakini hakuna hata cku niliyompenda mmoja wakati wapo.
Cjui kwann lakini moyo wangu ulikua mbali sana na Hawa watu.
Sasa, ukisema hupaswi kumwacha mtu aliyekupenda kwa dhati, mie ningemchagua nani jamani? Nawezaje kujilazimisha niolewe na nisiyempenda eti kwa sababu yy ana upendo Wa dhati kwangu????
Si anaitwa aisha binti mwenyewe? Ha ha ha just kidding!Hamna ktu naheshmu kama mapenz , nilishamfanyia mtu ujinga sababu nilijua ananipenda, alilia binti wa watu siku nne kula hali mpaka wenzake wamuombe, mara ya mwisho kukutana nae aliniulza maswal paul umeshawah kupenda nikamwambia ndio akakataa akasema ungekuwa umeshawah penda usingenifanyia hv ungejua wat i feel! nkampuuzia sema aliniachia ka laana hv akaniambia utakuja kpata nilichopata, tukaachana , sa hv naugua hapa na mm nimeachwa! daa haya mapnz bac