Namchukulia kama chombo cha starehe tu

Siku yakikufika ndo utajua kama sasa unafanya vibaya au la! Bahati nzuri,Malipo ni hapa hapa duniani,akhera ni kuhesabiwa tu.
 
Shyeeeh...!!! unakosea sana, bora hata umfanye tu basi la mwendo kasi.
 
Hii yote inatokana na ye kuwa king'ang'aniz kwangu,nimemuumiza vya kutosha ila ye hatak kunielewa,mwishowe nimeamua kumchukulia kama chombo cha starehe 2.cjui ka nakosea wakuu?
......Ndo mana umetimuliwa UDOM.....kilaza wewe......JPM hakukosea!
 
Naona unamtafutia ushauri mdogo wako alogeuzwa chombo cha starehe. Mwambie avumilie anapimwa!
 
Kwan Huo mda Wa kusex anakulazimisha????

Hivi unaanzaje kusex na mwanamke usiempenda??? Eti anakulazimisha au anakung'ang'aniza.....

Kuna mambo mawili kwako

1. Wewe ni mzembe kwa kukosa msimamo. Mwanaume huwez lazimishwa na mwanamke. Huo ni uzembe.

2. Unahitaji wewe to have sex with her....so wote mnageuzana vyombo vya starehe....huwez kutokumhitaji kwa sex alafu uka doo nae....tena sio Mara moja.

3. Hujitambui I mean bado Mvulana.....naaweza kukuweka kundi moja na captaintanzania
 
Hamna ktu naheshmu kama mapenz , nilishamfanyia mtu ujinga sababu nilijua ananipenda, alilia binti wa watu siku nne kula hali mpaka wenzake wamuombe, mara ya mwisho kukutana nae aliniulza maswal paul umeshawah kupenda nikamwambia ndio akakataa akasema ungekuwa umeshawah penda usingenifanyia hv ungejua wat i feel! nkampuuzia sema aliniachia ka laana hv akaniambia utakuja kpata nilichopata, tukaachana , sa hv naugua hapa na mm nimeachwa! daa haya mapnz bac
Kumbe wewe ni paul eeeeh
 
Hamna ktu naheshmu kama mapenz , nilishamfanyia mtu ujinga sababu nilijua ananipenda, alilia binti wa watu siku nne kula hali mpaka wenzake wamuombe, mara ya mwisho kukutana nae aliniulza maswal paul umeshawah kupenda nikamwambia ndio akakataa akasema ungekuwa umeshawah penda usingenifanyia hv ungejua wat i feel! nkampuuzia sema aliniachia ka laana hv akaniambia utakuja kpata nilichopata, tukaachana , sa hv naugua hapa na mm nimeachwa! daa haya mapnz bac
safi saaana
 
Hii yote inatokana na ye kuwa king'ang'aniz kwangu,nimemuumiza vya kutosha ila ye hatak kunielewa,mwishowe nimeamua kumchukulia kama chombo cha starehe 2.cjui ka nakosea wakuu?

Aisee wewe ni mwehu...yaani mtu unafanya uonevu kwa mwanadamu halafu unakua proud kabisa wala huoneshi remorse kabisa...

Dude utakua below 18 hivi,unafeli sana
 
Ambacho huelewi ni kwamba that woman really loves you,ipo siku atachoka atakuacha na atampara mwingine and believe me,UTAMKUMBUKA KWA MAPENZI YAKE MEMA ALOWAHI KUKUTENDEA BUT IT WILL BE TOO LATE.,
 
Plz, sio kuchezea bahati. Huyo kaka ubaya wake ni kuendelea kuzini na mtu asiyempenda na asiye mke wake. Kitendo hcho ni cha kikatili kabisa. Hastahili kuwa binadamu.

Lakini hoja yangu ni hii tena kwa mifano;
Kuna wanaume wawili walijitokeza kwangu, tena wote wakiwa na lengo la kuoa. Bt kwa wakati tofautitofauti,, lakini hakuna hata mmoja niliyempenda, naposema walinipenda kwa dhati namaanisha. Walijitahidi kunifanya nifurahi muda wote lakini hakuna hata cku niliyompenda mmoja wakati wapo.
Cjui kwann lakini moyo wangu ulikua mbali sana na Hawa watu.

Sasa, ukisema hupaswi kumwacha mtu aliyekupenda kwa dhati, mie ningemchagua nani jamani? Nawezaje kujilazimisha niolewe na nisiyempenda eti kwa sababu yy ana upendo Wa dhati kwangu????
Hapo kuna tofauti kama upo kwenye mahusiano nao utakuwa unafanya vibaya ila kama wanakufukuzia na huwapendi yaani hujawapa nafasi ya kuwa na uhusiano nao hapo sawa.
 
Plz, sio kuchezea bahati. Huyo kaka ubaya wake ni kuendelea kuzini na mtu asiyempenda na asiye mke wake. Kitendo hcho ni cha kikatili kabisa. Hastahili kuwa binadamu.

Lakini hoja yangu ni hii tena kwa mifano;
Kuna wanaume wawili walijitokeza kwangu, tena wote wakiwa na lengo la kuoa. Bt kwa wakati tofautitofauti,, lakini hakuna hata mmoja niliyempenda, naposema walinipenda kwa dhati namaanisha. Walijitahidi kunifanya nifurahi muda wote lakini hakuna hata cku niliyompenda mmoja wakati wapo.
Cjui kwann lakini moyo wangu ulikua mbali sana na Hawa watu.

Sasa, ukisema hupaswi kumwacha mtu aliyekupenda kwa dhati, mie ningemchagua nani jamani? Nawezaje kujilazimisha niolewe na nisiyempenda eti kwa sababu yy ana upendo Wa dhati kwangu????
uliyenaye anakupenda?
 
Hamna ktu naheshmu kama mapenz , nilishamfanyia mtu ujinga sababu nilijua ananipenda, alilia binti wa watu siku nne kula hali mpaka wenzake wamuombe, mara ya mwisho kukutana nae aliniulza maswal paul umeshawah kupenda nikamwambia ndio akakataa akasema ungekuwa umeshawah penda usingenifanyia hv ungejua wat i feel! nkampuuzia sema aliniachia ka laana hv akaniambia utakuja kpata nilichopata, tukaachana , sa hv naugua hapa na mm nimeachwa! daa haya mapnz bac
Si anaitwa aisha binti mwenyewe? Ha ha ha just kidding!
 
Back
Top Bottom