Huu uzi ngoja kwanza nitoke mbio naogopa sijui kwanini aisee!!!
Waoga wa kufwa utawajua tuuNyuzi zingine bhana!
Wewe unadhani kufa ni jambo jema? Malengo ya awali ya Mungu kwa binadamu ni kuishi milele au muda mfupi na kufa (kama ilivyo sasa)?Waoga wa kufwa utawajua tuu![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Hilo ni lingine malengo yake Hayajatimia ama LA hakuelewekaWewe unadhani kufa ni jambo jema? Malengo ya awali ya Mungu kwa binadamu ni kuishi milele au muda mfupi na kufa (kama ilivyo sasa)?
Hii ndio tunaskiaga mtu katoka nduki na dripu mkononi baada ya kumuona izraili?
Kifo hakifai na kinaogopeka na watu wengi kwa sababu hiyo ni adhabu aliyopewa na Mungu Adam pamoja na kizazi chake (mimi na wewe)!Hilo ni lingine malengo yake Hayajatimia ama LA hakueleweka
Sent from my INFINIX-X551 using JamiiForums mobile app
Aaamen ni kweli kabisa hakizoeleki lakini kwa masikitiko makubwa sana tunacho dailyKifo hakifai na kinaogopeka na watu wengi kwa sababu hiyo ni adhabu aliyopewa na Mungu Adam pamoja na kizazi chake (mimi na wewe)!
Asa adhabu si kitu cha kuona ni kawaida bali ni cha kuogopwa, kujutia, kutubu na hatimaye kujirudi!
Kama Yesu christu alitamani "kikombe kile kimuepuke" ila tu kwa sababu ya mapenzi yake BABA akakikubali ije iwe binadamu dhaifu kama mimi?
Acha kabisa, kifo hakizoeleki!
Pole mkuuDuh umenikumbusha kitu leo nimetoka hosptal kumuona Mgonjwa wangu dah Namuona kabisa it's no more.........
Kafa bhna leo dah asubuh![]()
Tusidanganyane ndugu KIFO kiache kama kilivyo tu. Unataka kuniambia wanaokufa wamelala tena Kwa utulivu hawana dhambi na mwisho wao ni peponi!hatua za mwisho mtu anapokata Roho hua zinaonyesha huyo mtu alikua wa aina gani,either mwovu au mwema.na inaonyesha huyo mtu ataenda wapi, either motoni au mbinguni. kazi kwenu kuchagua uzima wa milele au mauti
Umesha timiza hatua ya kwanza.Huu uzi ngoja kwanza nitoke mbio naogopa sijui kwanini aisee!!!
Unazungumzia kifasihi? Anyway, tuambie what are you up to?wataalamu husema kifo huwa na hatua tatu
hatua ya kwanza ni kukikataa kifo,yaani hapa sasa mtu anahangaika kuhakikisha anaokoa uhai wake kwa kila namna
hatua ya pili ni makubaliano au mapatano, (wazungu husema kubargain) yaani hapa ndio anahangaika kweli mara mumkute katulia kama kafa mara yuko macho
hatua ya tatu ni kukikubali kifo (hapa sasa ndio mtu yuko tayari kufa nyie mnamuona kama amegive up) mtu huwa tayari kabisa kakubali matokeo kuwa ndio anaondoka.
asanteni
Nadhani unamaana ya kusinzia.vipi wanaokufa wamelala..?
Hivi mkuu hamnaga sayansi iliyo fumbua fumbo la kifo?Waoga wa kufwa utawajua tuu![]()
![]()
![]()
![]()
![]()