Nakukumbusha hatua tatu muhimu ili kukifikia kifo

Hilo ni lingine malengo yake Hayajatimia ama LA hakueleweka

Sent from my INFINIX-X551 using JamiiForums mobile app
Kifo hakifai na kinaogopeka na watu wengi kwa sababu hiyo ni adhabu aliyopewa na Mungu Adam pamoja na kizazi chake (mimi na wewe)!
Asa adhabu si kitu cha kuona ni kawaida bali ni cha kuogopwa, kujutia, kutubu na hatimaye kujirudi!

Kama Yesu christu alitamani "kikombe kile kimuepuke" ila tu kwa sababu ya mapenzi yake BABA akakikubali ije iwe binadamu dhaifu kama mimi?

Acha kabisa, kifo hakizoeleki!
 
Kifo hakifai na kinaogopeka na watu wengi kwa sababu hiyo ni adhabu aliyopewa na Mungu Adam pamoja na kizazi chake (mimi na wewe)!
Asa adhabu si kitu cha kuona ni kawaida bali ni cha kuogopwa, kujutia, kutubu na hatimaye kujirudi!

Kama Yesu christu alitamani "kikombe kile kimuepuke" ila tu kwa sababu ya mapenzi yake BABA akakikubali ije iwe binadamu dhaifu kama mimi?

Acha kabisa, kifo hakizoeleki!
Aaamen ni kweli kabisa hakizoeleki lakini kwa masikitiko makubwa sana tunacho daily
Kuna wakati huwa natamani mambo yangekuwa tofauti pale Eden
 
hatua za mwisho mtu anapokata Roho hua zinaonyesha huyo mtu alikua wa aina gani,either mwovu au mwema.na inaonyesha huyo mtu ataenda wapi, either motoni au mbinguni. kazi kwenu kuchagua uzima wa milele au mauti
Tusidanganyane ndugu KIFO kiache kama kilivyo tu. Unataka kuniambia wanaokufa wamelala tena Kwa utulivu hawana dhambi na mwisho wao ni peponi!
Je vipi wale waliokufa MV BUKOBA utaniambia wote walikuwa na dhambi kwakuwa vifo vyao vilikuwa vya mateso na kutapatapa?.
Mimi Kwa ufahamu wangu ni kwamba KIFO ni KIFO tu full stop.
 
wataalamu husema kifo huwa na hatua tatu

hatua ya kwanza ni kukikataa kifo,yaani hapa sasa mtu anahangaika kuhakikisha anaokoa uhai wake kwa kila namna


hatua ya pili ni makubaliano au mapatano, (wazungu husema kubargain) yaani hapa ndio anahangaika kweli mara mumkute katulia kama kafa mara yuko macho

hatua ya tatu ni kukikubali kifo (hapa sasa ndio mtu yuko tayari kufa nyie mnamuona kama amegive up) mtu huwa tayari kabisa kakubali matokeo kuwa ndio anaondoka.

asanteni
Unazungumzia kifasihi? Anyway, tuambie what are you up to?
 
Tulikuja bila kitu, na tutaondoka bila kitu. Tuishi kwa amani na watu wote.
 
Back
Top Bottom