Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 25,309
- 61,445
Naunga mkono hojaPiga chini
Naunga mkono hojaPiga chini
Zungu kaambiwa kala kuku na mayai yakeNaskia Haji na mkewe wanachafuana huko mitandaoni balaa....🤣
Siyo umasikini kwaiyo kama upo na hela unaweza mwachia cm yako mtoto achezee aipige chini kama anapiga jiwe ili uje kununua cm mpya au siyoKuna wakati umasikini unatufanya kuwa na Roho ya ajabu Sana.
Yaani uachane na mkeo kisa mtoto....tena anayejifunza kutembea?
Anyway hata ukimuacha huyo mtoto yeye ataendelea kukua na Mungu atasimama upande wake. Tulio wengi ni mazao ya usingo Maza lakini we are people now . Wapende watoto usiwabague.
Ungeweza solution ni kutomuoa tunataka kufanya maamuzi magumu sana
Kumbe ulishajua nini Cha kufanya....kilichokuleta humu ni kuandikiwa comments na kupata likes tu....🚮Ndo nataka kufanya maamuzi haya maana faida ndogo kuliko hasala
Acha upuuzi wewe kwani huyo mtoto kapasua vyombo kabati zima au wewe hujawahi kufanya kosa ukiwa mtoto?Siyo umasikini kwaiyo kama upo na hela unaweza mwachia cm yako mtoto achezee aipige chini kama anapiga jiwe ili uje kununua cm mpya au siyo