Nairobi vs Kampala

Fikieni Mombasa kwanza ndio muanze kuitaja Nairobi
tapatalk_1567229223654.jpeg
tapatalk_1566899774453.jpeg
 
ukitamka DAR uwe unajua DAR nini DAR sio ulimwengu wako ndugu DAR ni high level DAR nikubwa kinyama zaidi ya unavyoijua dar ni kama ka nchi hivi usilingsnishe na kifungishio kama nairobiView attachment 1198782

Hehehe yaani picha ya mjini kati lakini utadhani kariokoo, yaani kati ya picha zote za Dar, hii ndio mumebugi zaidi.
 
Hivi lini Dar iliishinda Mombasa, maana ndio level yake, ama kwa kujenga majengo mawili mkaanza kutunisha misuli na kujiona mumekaribia hadhi ya kupimana na Nairobi.
Mjenge walau superhighway moja ili muwaze kuitaja Nairobi, sio hapo mlijenga flyover moja ikawa kivutio cha watalii Tanzania yote, ilhali flyover za Nairobi tumezichoka.

Hivi unafahamu uchumi wa Nairobi pekee yake unatoshana na uchumi wa Tanzania yote, yaani muungano wa nchi zote mbili Tanganyika na Zanzibar.
Hili linafunguliwa hiv karibun
FB_IMG_15676715561490658.jpeg
 
Nilijua ni Wabongo wenyewe watakoanza kuposti picha za Dar. Huu uzi umefunguliwa kulinganisha Dar kwa Nairobi. It's one of the many. Inferiority complex at its best.
 
Nairobi ni jiji kubwa kwa upande wa kenya na ndio jiji lililokuwa linashikilia nafasi ya kwanza katika majiji makubwa afrika mashariki kabla ya jiji la Dar es salaam kufanya revolution na kuwa mbele zaidi ya Nairobi sasa ni wakati wa comparison kati ya Nairobi na kampala. kwa upande wa kampala ndio jiji kubwa zaidi nchini Uganda and apart from that kampala inaweza kulinganishwa na majiji mengine kama Nairobi
TUMIA BUSARA KUJIBU NA SIO MATUSI

HII MAMBO YA KUKALILI HEBU TUIACHE

PLEASE ITs ONLY ABOUT NAIROBI and KAMPALA
Nonsense ,total hogwash deecarter.
Dar iko mbele ya Nairobi only in terms of population and nothing else.Stop the nonsense of presenting your flawed opinion as "facts" inaonyesha kwanza wewe hauna busara.
 
images


Now nimeshift pande za West budda, land lord wa huku hananga maneno mob, life iko good side hii kidedli bradhe
Huko nilikaanga pia, kando ya road hapo wana uzaga chapoo fulani ziko poa tu yani. Vile unabonga sheng yako una nibamba jo.. unani remind wasee wangu, ma boyz wa mtaa side za mathare na kayole. Msalimie mama Wanjiru, mwendee mtajie jina langu halafu mwambie akupee vitu zangu, yeye atashikanisha.
 
Huko nilikaanga pia, kando ya road hapo wana uzaga chapoo fulani ziko poa tu yani. Vile unabonga sheng yako una nibamba jo.. unani remind wasee wangu, ma boyz wa mtaa side za mathare na kayole. Msalimie mama Wanjiru, mwendee mtajie jina langu halafu mwambie akupee vitu zangu, yeye atashikanisha.
unamanya mama wanjiru huwanga busy na mbogi ya kimonyoski time nyingi, halafu hujipatanga ako maji kidedlee Jo! But usiingize njeve budda

Hizo vitu zako nitazisaka time nikiwafree jo
Now nipo na chipipi moja munono kidedli jo

😂😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom