deecarter
Member
- Aug 24, 2019
- 23
- 64
Nairobi ni jiji kubwa kwa upande wa kenya na ndio jiji lililokuwa linashikilia nafasi ya kwanza katika majiji makubwa afrika mashariki kabla ya jiji la Dar es salaam kufanya revolution na kuwa mbele zaidi ya Nairobi sasa ni wakati wa comparison kati ya Nairobi na kampala. kwa upande wa kampala ndio jiji kubwa zaidi nchini Uganda and apart from that kampala inaweza kulinganishwa na majiji mengine kama Nairobi
TUMIA BUSARA KUJIBU NA SIO MATUSI
HII MAMBO YA KUKALILI HEBU TUIACHE
PLEASE ITs ONLY ABOUT NAIROBI and KAMPALA
TUMIA BUSARA KUJIBU NA SIO MATUSI
HII MAMBO YA KUKALILI HEBU TUIACHE
PLEASE ITs ONLY ABOUT NAIROBI and KAMPALA