Nairobi vs Kampala

deecarter

Member
Aug 24, 2019
23
64
Nairobi ni jiji kubwa kwa upande wa kenya na ndio jiji lililokuwa linashikilia nafasi ya kwanza katika majiji makubwa afrika mashariki kabla ya jiji la Dar es salaam kufanya revolution na kuwa mbele zaidi ya Nairobi sasa ni wakati wa comparison kati ya Nairobi na kampala. kwa upande wa kampala ndio jiji kubwa zaidi nchini Uganda and apart from that kampala inaweza kulinganishwa na majiji mengine kama Nairobi
TUMIA BUSARA KUJIBU NA SIO MATUSI

HII MAMBO YA KUKALILI HEBU TUIACHE

PLEASE ITs ONLY ABOUT NAIROBI and KAMPALA
 
Hivi lini Dar iliishinda Mombasa, maana ndio level yake, ama kwa kujenga majengo mawili mkaanza kutunisha misuli na kujiona mumekaribia hadhi ya kupimana na Nairobi.
Mjenge walau superhighway moja ili muwaze kuitaja Nairobi, sio hapo mlijenga flyover moja ikawa kivutio cha watalii Tanzania yote, ilhali flyover za Nairobi tumezichoka.

Hivi unafahamu uchumi wa Nairobi pekee yake unatoshana na uchumi wa Tanzania yote, yaani muungano wa nchi zote mbili Tanganyika na Zanzibar.
 
Hivi lini Dar iliishinda Mombasa, maana ndio level yake, ama kwa kujenga majengo mawili mkaanza kutunisha misuli na kujiona mumekaribia hadhi ya kupimana na Nairobi.
Mjenge walau superhighway moja ili muwaze kuitaja Nairobi, sio hapo mlijenga flyover moja ikawa kivutio cha watalii Tanzania yote, ilhali flyover za Nairobi tumezichoka.

Hivi unafahamu uchumi wa Nairobi pekee yake unatoshana na uchumi wa Tanzania yote, yaani muungano wa nchi zote mbili Tanganyika na Zanzibar.
Asee ndugu umeongea kwa uhemko hadi raha.
Yani uchumi wa Nai uwe wa Tz nzima acha uhemko braza.
Dar inakua kwa kasi ina majengo mengi na inazidi kuboreshwa na fly over zinazidi jengwa pia.
Au hulifaham hilo??!!!!
Hapa ni comparison ya Kampala and Nairobi Dar itoe.
Halafu kumbuka Dar ni mara tatu ya Nairobi kwa ukubwa sawa Nai imejengeka ila tunawapa CBD ya Dar inatoshana na Nairobi nzima kutokana na ukubwa wake.
 
Hebu msifananishe Nairobi yetu na vitu vya kijinga, Kampala hawana hii bus terminal ya kimataifa mpaka naingia kaburini 😂😂😂😂

nairobi_bus_terminal.jpg
 
Umeua brousiongeze kitu kabisa
Hivi lini Dar iliishinda Mombasa, maana ndio level yake, ama kwa kujenga majengo mawili mkaanza kutunisha misuli na kujiona mumekaribia hadhi ya kupimana na Nairobi.
Mjenge walau superhighway moja ili muwaze kuitaja Nairobi, sio hapo mlijenga flyover moja ikawa kivutio cha watalii Tanzania yote, ilhali flyover za Nairobi tumezichoka.

Hivi unafahamu uchumi wa Nairobi pekee yake unatoshana na uchumi wa Tanzania yote, yaani muungano wa nchi zote mbili Tanganyika na Zanzibar.
 
Dar ni kubwa kushinda new york pia...usisahau hilonaona dar imeipiku new york..
Asee ndugu umeongea kwa uhemko hadi raha.
Yani uchumi wa Nai uwe wa Tz nzima acha uhemko braza.
Dar inakua kwa kasi ina majengo mengi na inazidi kuboreshwa na fly over zinazidi jengwa pia.
Au hulifaham hilo??!!!!
Hapa ni comparison ya Kampala and Nairobi Dar itoe.
Halafu kumbuka Dar ni mara tatu ya Nairobi kwa ukubwa sawa Nai imejengeka ila tunawapa CBD ya Dar inatoshana na Nairobi nzima kutokana na ukubwa wake.
 
Hivi lini Dar iliishinda Mombasa, maana ndio level yake, ama kwa kujenga majengo mawili mkaanza kutunisha misuli na kujiona mumekaribia hadhi ya kupimana na Nairobi.
Mjenge walau superhighway moja ili muwaze kuitaja Nairobi, sio hapo mlijenga flyover moja ikawa kivutio cha watalii Tanzania yote, ilhali flyover za Nairobi tumezichoka.

Hivi unafahamu uchumi wa Nairobi pekee yake unatoshana na uchumi wa Tanzania yote, yaani muungano wa nchi zote mbili Tanganyika na Zanzibar.
We kwale bila kuitaja TZ haujiskii poa.
 
Dar ni kubwa kushinda new york pia...usisahau hilonaona dar imeipiku new york..
Tunazungumzia kuhusu East Africa kijana tuliza akili.
Una akili timamu ww????
New York imetokea wapi???
Ilhali twaizungumzia Africa???

New York yako haifikiii ht robo mji wa Doha Qatar ama Abudhabi Dubai New York yako haifui dafu ng'oooo hatta iende kwa mganga wa kienyeji.
 
Asee ndugu umeongea kwa uhemko hadi raha.
Yani uchumi wa Nai uwe wa Tz nzima acha uhemko braza.
Dar inakua kwa kasi ina majengo mengi na inazidi kuboreshwa na fly over zinazidi jengwa pia.
Au hulifaham hilo??!!!!
Hapa ni comparison ya Kampala and Nairobi Dar itoe.
Halafu kumbuka Dar ni mara tatu ya Nairobi kwa ukubwa sawa Nai imejengeka ila tunawapa CBD ya Dar inatoshana na Nairobi nzima kutokana na ukubwa wake.
Achana na uyo msela wa kibera njaa itakshikisha adabu
 
Hivi lini Dar iliishinda Mombasa, maana ndio level yake, ama kwa kujenga majengo mawili mkaanza kutunisha misuli na kujiona mumekaribia hadhi ya kupimana na Nairobi.
Mjenge walau superhighway moja ili muwaze kuitaja Nairobi, sio hapo mlijenga flyover moja ikawa kivutio cha watalii Tanzania yote, ilhali flyover za Nairobi tumezichoka

Hivi unafahamu uchumi wa Nairobi pekee yake unatoshana na uchumi wa Tanzania yote, yaani muungano wa nchi zote mbili Tanganyika na Zanzibar.
ukitamka DAR uwe unajua DAR nini DAR sio ulimwengu wako ndugu DAR ni high level DAR nikubwa kinyama zaidi ya unavyoijua dar ni kama ka nchi hivi usilingsnishe na kifungishio kama nairobi
Screenshot_2019-09-01-11-24-38-1.jpg
 
Back
Top Bottom