Naibu Spika naye yupo kwenye adhabu?

By the way, kitendo wanacjofanya ukawa cha kumdisia NS ni moja ya majukumu yso ta kibunge. Wanapinga jambo ambalo hawakubaliani nalo kidemokrasia. Kwa kutoka nje! Au NS anataka wabaki ndani wapigane au kupiga kelele ili kukwamisha shughuli za bunge?

Au NS ana uburu wa kuwafanya chochote ikiwa ni pamoja na kuzuia hoja zao ns ukawa wao wakubaliane naye tu? Je kanuni za bunge zinasemaje kuhusu namnz wabunge wanapaswa kuprotest jambo bungeni? Au ipinzani hawsruhusiwi kuprotest jambo bungeni?
Wakipiga kelele bungeni wanaletewa mbwa na askari, wakitoka kwa amani wananyimwa posho, sasa je ni njia ipi basi wapinzani wanapaswa kuitumia kuoneshwa kutokubaliana na jambo? Au hawaruhusiwi kupinga?
 
Kipindi hiki ambapo spika hayupo nsibu spika ndiye anakuwa na majukumu ya kufanya mambo mengi ndani na nje ya bunge. Lakini sasa imembidi naibu spika kukaa bungeni muda wote ili kuwakomoa ukawa huku shughuli nyingine za kiofisi zikidorora!


Kwenye Nchi inayojipambanua kuwa Demokrasia yake inakua basi anayejikomoa ni Serikali na Naibu Spika mwenyewe. Ukiongezea na Wale wa Kijani wazee wa ndiyooo!
 
Anapokea Milion 11 kwa mwezi, anapata pesa ya mfuko wa jimbo, anamikopo bank kibao, unadhan atahangaika na hiyo laki tatu kwa siku? labda wakate chanel zao zote za pesa hapo watawakomoa but kwa laki tatu ni sawa na nothing
Usiwe kama umekunywa kiroba. Kama hayo ni mapato je matumizi yao yakoje? Hiyo mikopo inatakiwa kuwa serviced. Laki 3 kwa siku unaiona ndogo wakati wewe unapata shara laki 6 kwa mwezi kabla ya makato.
 
Ingekuwa wabunge wa Ccm hiyo kauli yako ingekuwa sawa maana Ccm wapo pale kwa ajili ya posho.
Kwa taarifa yako UKAWA wako kwa maslahi mapana ya Taifa. Mfani mzuri ni bunge la katiba, waligomea 30m kila mbunge. Achana na huvyi vilaki.
Yaani hadi mtaomba pooo
Waligomea posho lakini tukawa tunawaona akina Msigwa wapo Ethiopia wakipata posho za dollar wakiongozana na Nyalandu. Sasa posho za dollar hadi kibali toka Magogoni. Subiri uone fukuto.
 
Mkuu ule muongozo wa jana utakuwa umewakata makali UKAWA. Hakika nakuambia ya kwamba Posho zitawagawa tu.
Na wakati waliposusia Bunge la Katiba waligawanyika kwa ajili ya posho? Mambo mengine hayataki tochi!
 
Mkuu alikuwa Zitto kwa bunge lililopita sasa sijui lini alikuwa UKAWA
Aliacha kuchukua posho na Mbowe akafuatia kwa kurudi gari rasmi la KUB lakini kabla wiki haijaisha akalichukua tena kimya kimya.
 
Na wakati waliposusia Bunge la Katiba waligawanyika kwa ajili ya posho? Mambo mengine hayataki tochi!

Wala tusitumie nguvu, ziwe za mwanga ama giza. Tusubiri tu tuone jinsi watavyofarakana muda si mrefu.
 
Mkuu ule muongozo wa jana utakuwa umewakata makali UKAWA. Hakika nakuambia ya kwamba Posho zitawagawa tu.

You may be right and wrong, Hata wakati wa bunge la katiba kuna watu walisema hivi hivi. Kwani nini ilitokea? kuna watu ambao wako sober, they seriously know what they are doing.
 
Bunge limekua kama kikao cha ccm tofauti ni kwamba kinakofanyikia ni ukumbi tofauti
 
You may be right and wrong, Hata wakati wa bunge la katiba kuna watu walisema hivi hivi. Kwani nini ilitokea? kuna watu ambao wako sober, they seriously know what they are doing.
Mkuu adui yako muombee njaa.
 
Back
Top Bottom