dlnobby
JF-Expert Member
- Jul 30, 2014
- 2,514
- 3,348
Inaonekana hata mama ako anakazwa sana ndo maana anawaheshimu wanaumeUkiwa na mke km yule itabid uwe unamkaza haswa ili awaheshim wanaume
Inaonekana hata mama ako anakazwa sana ndo maana anawaheshimu wanaumeUkiwa na mke km yule itabid uwe unamkaza haswa ili awaheshim wanaume
Mkuu inamaana iyo adhabu inamuhusu ndugai?Wabadilishe mbinu, waingie tu bungeni wapate posho. Sheria ni msumeno, itawakata hata akina Ndugai walio nje ya bunge
Kipindi hiki ambapo spika hayupo nsibu spika ndiye anakuwa na majukumu ya kufanya mambo mengi ndani na nje ya bunge. Lakini sasa imembidi naibu spika kukaa bungeni muda wote ili kuwakomoa ukawa huku shughuli nyingine za kiofisi zikidorora!
Wanawake wasomi sana always ni wabayaChenyewe sijui hata km kitakuwa na ladha! Kibayaaa,!
Mkuu ule muongozo wa jana utakuwa umewakata makali UKAWA. Hakika nakuambia ya kwamba Posho zitawagawa tu.
Akina nani hao? Mkuu subiri tu uone. Hawa UKAWA watafarakana tu na chanzo itakuwa ni posho.Mbona kuna wabunge walishaacha kuchukua posho siku nyingi.
Usiwe kama umekunywa kiroba. Kama hayo ni mapato je matumizi yao yakoje? Hiyo mikopo inatakiwa kuwa serviced. Laki 3 kwa siku unaiona ndogo wakati wewe unapata shara laki 6 kwa mwezi kabla ya makato.Anapokea Milion 11 kwa mwezi, anapata pesa ya mfuko wa jimbo, anamikopo bank kibao, unadhan atahangaika na hiyo laki tatu kwa siku? labda wakate chanel zao zote za pesa hapo watawakomoa but kwa laki tatu ni sawa na nothing
Subiri tu utaona kama Jesca ama mumeosawa dada JESCA tumekuelewa
Waligomea posho lakini tukawa tunawaona akina Msigwa wapo Ethiopia wakipata posho za dollar wakiongozana na Nyalandu. Sasa posho za dollar hadi kibali toka Magogoni. Subiri uone fukuto.Ingekuwa wabunge wa Ccm hiyo kauli yako ingekuwa sawa maana Ccm wapo pale kwa ajili ya posho.
Kwa taarifa yako UKAWA wako kwa maslahi mapana ya Taifa. Mfani mzuri ni bunge la katiba, waligomea 30m kila mbunge. Achana na huvyi vilaki.
Yaani hadi mtaomba pooo
Na wakati waliposusia Bunge la Katiba waligawanyika kwa ajili ya posho? Mambo mengine hayataki tochi!Mkuu ule muongozo wa jana utakuwa umewakata makali UKAWA. Hakika nakuambia ya kwamba Posho zitawagawa tu.
Aliacha kuchukua posho na Mbowe akafuatia kwa kurudi gari rasmi la KUB lakini kabla wiki haijaisha akalichukua tena kimya kimya.Mkuu alikuwa Zitto kwa bunge lililopita sasa sijui lini alikuwa UKAWA
........ Na muwafute na Ubunge.... bado kijiti kimewakwama, kaba kabaMwanyimwe na mishahara
Na wakati waliposusia Bunge la Katiba waligawanyika kwa ajili ya posho? Mambo mengine hayataki tochi!
Wanapiga makofi na kuzomea!Wabunge wa ccm wengi ni mabubu hawaongei kitu bungeni ni sawa na kutohudhuria vikao kabsa , sasa wanalipwa posho kwa Kazi gani?
Mkuu ule muongozo wa jana utakuwa umewakata makali UKAWA. Hakika nakuambia ya kwamba Posho zitawagawa tu.
mkuu hipo ni JIPU ujue pesa ya Bunge la katiba iliyobaki ( chenji) ilipigwa na wajanja akina Chenge, Sita na wenzao
Mkuu adui yako muombee njaa.You may be right and wrong, Hata wakati wa bunge la katiba kuna watu walisema hivi hivi. Kwani nini ilitokea? kuna watu ambao wako sober, they seriously know what they are doing.