Manyunchwi
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 431
- 149
Mtu ni yuleyule aliyefanya kosa lilelile mahala palepale muda uleule.... adhabu kapewa ya kutenguliwa uteuzi wake (kufutwa kazi) vipi bunge nalo litaamuaje? Wananchi nao wataamuaje? Kama kosa lile adhabu ni kufukuzwa kazi, kwanini ubunge wake usitenguliwe pia?....