Nkulu wa nchito
JF-Expert Member
- Dec 13, 2019
- 1,234
- 1,609
Nina changamoto mke wangu kaenda mkoa mwingine kaajiriwa nimebaki na beki tatu kuna muda upwiru unakaba sana halafu nikimwangalia huyu beki tatu ana jicho moja hivi dah Mungu anisaidie kwa kweli nisije vunja nae ile amri.Nauliza kuna mbinu yoyote ya kuondokana na upwiru ukiachana na ile ya kujichukulia sheria mkononi nikishindwa itabid nitafute wale wa kwenye magroup ya whatsapp