Nahitaji namba ya huduma ya Sony

bizzle for shizzle

JF-Expert Member
Dec 22, 2014
1,010
736
wakuu habarini za muda huu naombeni kwa anayejua namba za mawakala Wa SONY SERVICE CENTER ninashida nao ambao wapo hapa dare salaam TV yangu imezingua imezima ghafla naogopa kupeleka TV yangu kwa mafundi Wa uchochoroni nataka niwatumie Sony wenyewe coz wapo smart zaidi kama TV zao au naomba hata mnielekeze ni wapi zilipo office zao niwafuate maana nyumba ni mama chanja kanuna tangu jana haoni tamthilia ya sultan inayorushwa na azam TV .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wakuu habarini za muda huu naombeni kwa anayejua namba za mawakala Wa SONY SERVICE CENTER ninashida nao ambao wapo hapa dare salaam TV yangu imezingua imezima ghafla naogopa kupeleka TV yangu kwa mafundi Wa uchochoroni nataka niwatumie Sony wenyewe coz wapo smart zaidi kama TV zao au naomba hata mnielekeze ni wapi zilipo office zao niwafuate maana nyumba ni mama chanja kanuna tangu jana haoni tamthilia ya sultan inayorushwa na azam TV .

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni mtu/mwanaume wa DAR kama sijakosea.

Maana wengi wenu mnadhani Jf ni ya huko pekee.
 
wakuu habarini za muda huu naombeni kwa anayejua namba za mawakala Wa SONY SERVICE CENTER ninashida nao ambao wapo hapa dare salaam TV yangu imezingua imezima ghafla naogopa kupeleka TV yangu kwa mafundi Wa uchochoroni nataka niwatumie Sony wenyewe coz wapo smart zaidi kama TV zao au naomba hata mnielekeze ni wapi zilipo office zao niwafuate maana nyumba ni mama chanja kanuna tangu jana haoni tamthilia ya sultan inayorushwa na azam TV .

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu wapelekee tu mafundi. Hilo ni tatizo dogo sana. Kuna kifaa (sikumbuki kinaitwaje) kimeungua.
 
wakuu habarini za muda huu naombeni kwa anayejua namba za mawakala Wa SONY SERVICE CENTER ninashida nao ambao wapo hapa dare salaam TV yangu imezingua imezima ghafla naogopa kupeleka TV yangu kwa mafundi Wa uchochoroni nataka niwatumie Sony wenyewe coz wapo smart zaidi kama TV zao au naomba hata mnielekeze ni wapi zilipo office zao niwafuate maana nyumba ni mama chanja kanuna tangu jana haoni tamthilia ya sultan inayorushwa na azam TV .

Sent using Jamii Forums mobile app
0716610927
 
Back
Top Bottom