Minjingu Jingu
Senior Member
- Nov 2, 2023
- 138
- 505
Mimi ni mgeni jiji la Mwanza week hii naenda huko ntakaa mwezi mzima.30 days. Naombeni mnisaidie wapi nitapata Lodge au Hotel nzuri sehemu tulivu ambapo pia si mbali na Mjini.
Cost iwe tsh 30,000 mpaka 40,000. Sehemu isiwe yenye kelele. Iwe nzuri pia ja yenye heshima.isiwe katika mji sehemu kama za kariakoo,manzese au buguruni.
Nashukuru kwa msaada wenu ambao ni muhimu sana kwangu.pia isiwe mbali sana from airport maana nitakuwa nakuja na kutoka Mwanza kwa kutumia ndege kila mara.
Cost iwe tsh 30,000 mpaka 40,000. Sehemu isiwe yenye kelele. Iwe nzuri pia ja yenye heshima.isiwe katika mji sehemu kama za kariakoo,manzese au buguruni.
Nashukuru kwa msaada wenu ambao ni muhimu sana kwangu.pia isiwe mbali sana from airport maana nitakuwa nakuja na kutoka Mwanza kwa kutumia ndege kila mara.