Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 58,873
- 94,593
MUNGU wa Mbinguni akujibu haja ya moyo wako, wote tuseme AMEN
Inner beauty achia kwenye x-ray machines.. Yeye haoni and Dont care about thatHizi sio sifa za kumfanya mtu akuoe. Serious people dont look at characteristics you mentioned. Are you aware of inner beauty? Try to do research on what men want in their wives and start over again.
If you dont care about inner beauty, then you will be taken care of by anything.Inner beauty achia kwenye x-ray machines.. Yeye haoni and Dont care about that
Msimkatishe tamaa, mbona amejieleza vizuri tu? Details nyingine ni baada ya kukutana. Kila la kheri dada.Hizi sio sifa za kumfanya mtu akuoe. Serious people dont look at characteristics you mentioned. Are you aware of inner beauty? Try to do research on what men want in their wives and start over again.
Ww ni mwalimu, nesi, askari au dr?Sifa za mwanaume:
-Awe mkristo
Umri kuanzia 29-35
Awe na kipato chake
Mwenye mapenzi ya dhati
Sifa zangu
Mimi ni mkristo
Nina miaka 27
Rangi yangu ni black(beauty)
Nimeajiriwa serikalini.
Karibuni
Mambo? Naomba ni pmHapana mie sihitaji