Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,553
- 76,759
Usiwe siriaz muda wote.Muda mwingine unacheka kidogo.Inasaidia afya ya akili🤣🤣🤣Aisee
Usiwe siriaz muda wote.Muda mwingine unacheka kidogo.Inasaidia afya ya akili🤣🤣🤣Aisee
Hadi kufikia hapo inaonesha una matatizo.Unakuja kujiliza JF wakati hutaki kuzikubali changamoto zako.Kaa chini utulie na kujiuliza wapi unakwama?Tatizo unataka kutuaminisha mama wa mtoto ndiye mkorofi.
HakikaUsiwe siriaz muda wote.Muda mwingine unacheka kidogo.Inasaidia afya ya akili
Hizo kejeli na dharau achana nazo.Weye jikite kwenye udadisi wangu.Umejitafakari unapokwama?Mie co mkamilifu,ila nachokiona kwako ni kulejeli na dharau ila wala hazinisumbui
Heh nikajua ukakaa nae kumbe ukamfaulishaAmchukue ampleke nyumban kwao mm wangu nilimchukua nilimpeleka kwa bibi yake likizo tu anaenda kusalimia mamake koz ashaolewa hko.
Wakati mtu anamfuata we uko zako machungani unasanya kuniUnalia lia nini... NENDA KACHUKUE MTOTO KWA NGUVU... ALAFU MTU AKUFUATE...
Shida huwa mnageuza watoto kama sehemu ya kipato.Haya mambo mwisho wa siku yanamuathiri mtoto, watu wananyang'anyana mtoto ili tu kukomoana.
Lazimisha kumchukua mtoto kama tu anaishi mazingira hatarishi.
Wanaume mnawachukua watoto mnawapelekea mama wa kambo.
Acha kulipa ada na uache kabisa kutoa matunzo.Nmeshatoa muda na bahati mbaya wazazi wa mwanamke wanamuunga mkono mtoto wao.
Mie binafsi kumuacha mtoto nafsi inakataa kabsa na pia kadiri anavyoendelea kuwepo kule anamezeshwa sumu na mbaya zaidi mtoto anakaa na wazazi wa mamake na c yeye mwenyew kama hawezi kukaa nae kwann hataki kumuachia????
Tatizo sijui mnawaokotaga wapi hao wanawake wenuShida huwa mnageuza watoto kama sehemu ya kipato.
Na ujeuri wa aina zote mnatuonesha.
Yaani unatukanwa matusi mpaka mama yako mnaunganishwa.
Ulivyopokea mbegu ulidhani itakuzalishia pesa? Mrudishe mtoto kwa baba yake akatunzwe.Sasa kitega uchumi namna Gani wakati mtoto anahitaji matunzo au ulivyoweka mbegu ulidhani itaota nyasi
Katoe mahari uchukue mwanao. Hilo halikuwa box lililobeba mwanao. Naye ni binti watu.Wakuu nina mwanangu ambaye nilizaa na mke wa kwanza ambaye tumeachana miaka sita iliyopita.
Na hivi sasa mtoto ameshafikisha umri wa miaka 8, nahitaji kumchukua mwanangu nikae naye. Naomba msaada wa kisheria tafadhali.