UWOGA=UMASKINI
JF-Expert Member
- Dec 30, 2013
- 2,399
- 1,014
Your very wrong wanawake wanafanana hata kama sasa unaona hakuvutii kuna vibinti vinchepuko vinakuvutia nao watafikia point hiyo hiyo ya mkeo baada ya kuoa. ILA KAMA UNAOA MWANAUME MWENZAKO SAWA LABDA ANAWEZA KUWA TOFAUTI kama ni mwanamke ni hao hao By the way acha ujinga umri mdogo siyo udogo wa akili we mdogo umemaliza chuo una kakazi unajidai maisha magumu ungekuwa unanieleza huo upuuzi wako karibu NINGEKUZABA MAKOFI PUMBAVU we umekuwa kwa shida na unataka na huyo mwanao na mwanamke wa watu apitie ulikopitia stupid