Acha Ujinga mbona ameandika vizuri tuu wewe tuu ndo umeongeza mawazo yako!kaka chunga sana kauli zako na matumizi ya lugha kumbuka ile sheria ya makosa ya mitandaoni. nakilicho mtokea yule kijana aliyesifia majambazi kuua polisi sitaki shari.
nadhan unafikiri kwa kutumia makalio badala kichwa. Acha Ufala weweAcha Ujinga mbona ameandika vizuri tuu wewe tuu ndo umeongeza mawazo yako!
watamaliza linii MKUU??waliondoka sept
mbonaa Uhamiaji wamewashindaa na wamekaa kimyaaa na zile ajira zao xjui zilifutwa au ndoo wamewapeleka kimyakimya depo vijanaVuteni subra wizara ya mambo ya ndani tunalifuatilia hili kwa ukaribu mkubwa
Kuwa na subira hata usaili bado.mbonaa Uhamiaji wamewashindaa na wamekaa kimyaaa na zile ajira zao xjui zilifutwa au ndoo wamewapeleka kimyakimya depo vijana
Mugo wa kibiloKuwa na subira hata usaili bado.
Sio wanachukuliwa waliopo JKT?Sawa ngoja tuwasubirie ila naona wamechelewesha.
Kwa utaratibu mpya ulio wekwa majeshi yote yanatakiwa kuajiri watu kutoka jkt nasio mtaani tenaSio wanachukuliwa waliopo JKT?
Kwa utaratibu mpya ulio wekwa majeshi yote yanatakiwa kuajiri watu kutoka jkt nasio mtaani tena
ndiyoooo na ajira za police,Uhamiaji, nk zimesitishwa mpaka mwakani nasikiaKwaiyo kuanzia mwaka huu hawata ajiri tena watu wa uraiani..!?
Hawajataja muda ila wamesema wamesitisha kwa mudandiyoooo na ajira za police,Uhamiaji, nk zimesitishwa mpaka mwakani nasikia