Nafasi za Jeshi la Polisi zinatoka lini?

kaka chunga sana kauli zako na matumizi ya lugha kumbuka ile sheria ya makosa ya mitandaoni. nakilicho mtokea yule kijana aliyesifia majambazi kuua polisi sitaki shari.
Acha Ujinga mbona ameandika vizuri tuu wewe tuu ndo umeongeza mawazo yako!
 
Kwaiyo hapo tuseme baada ya hiyo cozi yao inayoisha mwezi wa 6 wataajiri jkt tu au hata watu wa uraiani!?wakuu naombeni mnisaidie
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom