Nadhani tuanze kufikiria kuwatumia wataalam waliobobea na pia kuagiza Chanjo iliyo Salama

I see Mkuu....... hapa kuna kazi. Ahsante maana mimi nilijiaminisha sana kwenye hizi konkesheni (Ingawaje Mzee wangu ambaye alikuwa ni mtaalamu sana wa hizi maana hata akiumwa mafua alikuwa anajifukiza) aliondoka na hii kitu. Na mimi nilipougua nilikimbilia haya makitu nikapata nafuu... kumbe ni bahati nasibu.
I see kwa kweli hali ni mbaya sana
we uliumwa Corona?
 
Kuna ujuha mkubwa sana unaendelea Tanzania , huku ughaibuni tumeshapiga hiyo chanjo siku nyingi na hayo madhara mnayodanganywa na Rais wenu hayapo hata bkidogo, imagine Joe Biden anapewa chanjo Rais wa Dunia wewe mwingine kapuku ni nani ukatae chanjo, mbona ndui kichocho minyoo makaria et al chanjo zake hamkukataa, hii inamaana kuna ombwe kubwa sana la uongozi nchini, chukua hatua usisubiri tamko Piga mask nawa mikono epuka kusongamana. Hata Mungu anakupa akili ili mujiongeze mwenyewe.
Mkuu, wewe upo ughaibuni, umepata chanjo IPI?
 
Kuna ujuha mkubwa sana unaendelea Tanzania , huku ughaibuni tumeshapiga hiyo chanjo siku nyingi na hayo madhara mnayodanganywa na Rais wenu hayapo hata bkidogo, imagine Joe Biden anapewa chanjo Rais wa Dunia wewe mwingine kapuku ni nani ukatae chanjo, mbona ndui kichocho minyoo makaria et al chanjo zake hamkukataa, hii inamaana kuna ombwe kubwa sana la uongozi nchini, chukua hatua usisubiri tamko Piga mask nawa mikono epuka kusongamana. Hata Mungu anakupa akili ili mujiongeze mwenyewe.
Huku TZ kuna maombi ya siku 3 kufukuza huo ugonjwa ule
 
Back
Top Bottom