Kingdom123
Member
- Aug 13, 2020
- 25
- 49
Kwa mwenendo ulivokuwa hapo nyuma wa siasa katika nchi yetu, sikuona kabisa umuhimu wa kwenda kupiga kura katika uchaguzi ujao. Nilikata tamaa kabisa ya kura yangu ya mabadiliko kuheshimiwa.
Ila sasa nabadili gia, natamani hiyo siku ifike haraka nikapige kura tena kuyatafuta maendeleo ya kweli ya Taifa langu.
Kama nawe ulikuwa kama mimi hapo mwanzo, nakusihi siku hiyo hata kama ulijiandikisha mbali safiri nenda kapige kura. Kumbe inawezekana tena.
Ahsanteni sana Watanzania.
Ila sasa nabadili gia, natamani hiyo siku ifike haraka nikapige kura tena kuyatafuta maendeleo ya kweli ya Taifa langu.
Kama nawe ulikuwa kama mimi hapo mwanzo, nakusihi siku hiyo hata kama ulijiandikisha mbali safiri nenda kapige kura. Kumbe inawezekana tena.
Ahsanteni sana Watanzania.