Mzimu wa Lowassa wazidi kumwandama Simba

Kingereza chenyewe cha "aiemu politishani aiemu veri machi wedsi" kwa nini asiwakimbie? si unaona hata mikutano ya kimataifa haendi...
Sasa atawakimbia mpaka lini mkuu maana miaka mitano ni mingi sana
 
Kwa hiyo wao wanataka watu wanafiki tuu, yaani ukionyesha kumuunga mkono mtu wanayemuogopa basi unakuwa adui yao? Kweli hiki chama ni kama cha wachawi ambao nyumbani kwako kukiwa na mlokole hata mmoja wanakutilia mashaka
 
Kada wa chama cha mapinduzi amezidi kuzongwa na makada wenzie kuhusu uamuzi wake wa kumuunga mkono Mh Lowasa kabla
hajatimkia CHADEMA.

Chanzo: Magazeti leo
Thread ya kijinga mara nyingi huchangiwa na watu wenye sifa hyo....its really naive &utopianic in nature!!!how does this help you and ur followers?Lowassa day and nite in imaginable stories created by imagineless people.
 
Wamempa na Ubunge tena wa Viti maalumu halafu saa hizi waanze kumuandama, kweli Chama Cha Majipu (ccm) sasa hivi ni wa kukurupuka.
 
Thread ya kijinga mara nyingi huchangiwa na watu wenye sifa hyo....its really naive &utopianic in nature!!!how does this help you and ur followers?Lowassa day and nite in imaginable stories created by imagineless people.
Mkuu mi nimekikubali kingereza chako tu... Daah.. Hatareee...
 
Kati ya watu waliowaaibisha wanawakae TZ ni Sophia Simba. Namchukiaga JK kwa sababu yake....................

Simba hapa anahusishwa na Lowassa. Kikwete inamuhusu nini? Au ulimaanisha Julius Kambarage?
 
Kama mwenye mzimu hawezi hata kuongea 10 minutes consecutively sasa huo mzimu utakuwa na ubavu wa kumuandama mtu?
Nyie wenye mgombea anaye juabkuongea masaa 10 mfululizo mbona mna mbunge mmoja tu kama nguzo ya msonge?
 
Back
Top Bottom