mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,454
- 122,880
Bongo wakina magari nwijaku mandonga ndy waheshimiwa wana wathamini nkHuyo kijana angekuwa mtanzania si ajabu hiyo teknolojia yake isingefika popote, maana chanzo kikuu cha kodi nchi hii ni ushuru wa magari, na wamiliki wa vituo vya mafuta na wafanya biashara wa mafuta asilimia kubwa ni viongozi
Ova