SawaPwani pia
Safii Pwani miaka 6Ma
Shinyanga pia!
Hao ndio walikuwa wakuu wa mikoa! Siyo hizi takataka za siku hizi!Safii Pwani miaka 6
Poleni wana familia na ndugu jamaa na marafiki kwa msiba huu wa ndugu Banduka, mkuu wa mkoa mstaafu na kada wa CCM.Bwana ametoa na Bwana ametwaa,jina lake na lihimidiwe milele,Amina!
Huyu kumjua lazima uwe mhenga.Ni nani?
DuuhWapendwa! Kwa masikitiko makubwa, Familia ya Banduka inasikitika kuwatangazia kifo cha Mhe. Nicodemus Manase Banduka kilichotokea ghafla jana, Ijumaa jioni, wakati akipatiwa matibabu katika hospitali ya Mloganzila.
Mipango ya mazishi inafanyikia nyumbani kwake Kibaha - kwa Matias. Taarifa kamili ya mazishi itatolewa baada ya mipango kukamilika.
Bwana ametoa na Bwana ametwaa, Jina lake lihimidiwe. Amen
Pia soma > Yupo wapi kada maarufu wa CCM Nicodemus Banduka?
Nicodemus M. Banduka alikuwa mwanasiasa na kiongozi mashuhuri nchini Tanzania. Alishika nafasi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani kuanzia Juni 1998 hadi Februari 2003.
Kabla ya hapo, alikuwa Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kagera.
Shule ya sekondari inayoitwa Nicodemus Banduka Secondary School ipo, ikionesha heshima kwa mchango wake katika jamii.
View attachment 3229192
Mzee Nocodemus Banduka wa tatu kutoka kushoto waliosimama akiwa na Wajumbe 18 kati ya 20 wa Tume ya watu 20 iliyotayarisha Katiba ya CCM
Wapendwa! Kwa masikitiko makubwa, Familia ya Banduka inasikitika kuwatangazia kifo cha Mhe. Nicodemus Manase Banduka kilichotokea ghafla jana, Ijumaa jioni, wakati akipatiwa matibabu katika hospitali ya Mloganzila.
Mipango ya mazishi inafanyikia nyumbani kwake Kibaha - kwa Matias. Taarifa kamili ya mazishi itatolewa baada ya mipango kukamilika.
Bwana ametoa na Bwana ametwaa, Jina lake lihimidiwe. Amen
Pia soma > Yupo wapi kada maarufu wa CCM Nicodemus Banduka?
Nicodemus M. Banduka alikuwa mwanasiasa na kiongozi mashuhuri nchini Tanzania. Alishika nafasi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani kuanzia Juni 1998 hadi Februari 2003.
Kabla ya hapo, alikuwa Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kagera.
Shule ya sekondari inayoitwa Nicodemus Banduka Secondary School ipo, ikionesha heshima kwa mchango wake katika jamii.
View attachment 3229192
Mzee Nocodemus Banduka wa tatu kutoka kushoto waliosimama akiwa na Wajumbe 18 kati ya 20 wa Tume ya watu 20 iliyotayarisha Katiba ya CCM
Sio wa 2000 tu hata mimi wa 60 sijui mbona?Vijana wa 2000 hawawezi kumfahamu huyu Comrade maarufu sana wakati huo! Kwamba hakuna kipindi Cha majira, usisikie habari za Nicodemus Banduka!
Hana picha ya peke yake mpaka tumtazame kwa shida namna hiiMzee Nocodemus Banduka wa tatu kutoka kushoto waliosimama akiwa na Wajumbe 18 kati ya 20 wa Tume ya watu 20 iliyotayarisha Katiba ya CCM
Mwanzoni hakufafanua ni nani, yaani aliandika as if watu wote tunamjuaHuyu kumjua lazima uwe mhenga.
unatakiwa ujue mpaka wa enzi za nyerereMimi sio wa 2000 Ila ukiachana na hilo jina simfahamu
Hakuna hospitali inayotoa huduma nzuri inayokaribiana na mkoa wa pwani kama Mloganzila. Nilifika pale mwaka jana huduma zao ni nzuri sana. Kwa uzee wake na maradhi utaisingizia tu hospitali.Yani mlienda mloganzila ,bora angebaki home tu
Umeshachanganya madesaHuyu na Mzee Stephen Mashishanga ni miongoni mwa wale walionyooshwa kwa kipindi chote cha miaka 10 cha Mzee wa msoga,inasemekana walikuwa kwenye kambi ya Sumaye.
Pia kulikuwa na msanii mmoja wa ngonjera aliitwa Salum Tambalizeni yeye alikuwa anampigia chapuo Salim Ahmed Salim kwa muda wote wa Mzee wa msoga hakuwahi kuitwa kutumbuiza kwenye kikao chochote cha CCM na hali yake ya maisha ikawa ngumu kabisa.
Kuna watu wana visasi vya hatari.