TANZIA Mzee Nicodemus Manase Banduka afariki dunia hospitali ya Mloganzila

Duuh
 
Pole Kwa familia na Mungu aiweke mahali pema peponi roho ya marehemu
 
Huyu na Mzee Stephen Mashishanga ni miongoni mwa wale walionyooshwa kwa kipindi chote cha miaka 10 cha Mzee wa msoga,inasemekana walikuwa kwenye kambi ya Sumaye.
Pia kulikuwa na msanii mmoja wa ngonjera aliitwa Salum Tambalizeni yeye alikuwa anampigia chapuo Salim Ahmed Salim kwa muda wote wa Mzee wa msoga hakuwahi kuitwa kutumbuiza kwenye kikao chochote cha CCM na hali yake ya maisha ikawa ngumu kabisa.
Kuna watu wana visasi vya hatari.
 
Umeshachanganya madesa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…