TANZIA Mzee Nicodemus Manase Banduka afariki dunia hospitali ya Mloganzila

Chachu Ombara

JF-Expert Member
Dec 11, 2012
6,067
10,936
Wapendwa! Kwa masikitiko makubwa, Familia ya Banduka inasikitika kuwatangazia kifo cha Mhe. Nicodemus Manase Banduka kilichotokea ghafla jana, Ijumaa jioni, wakati akipatiwa matibabu katika hospitali ya Mloganzila.

Mipango ya mazishi inafanyikia nyumbani kwake Kibaha - kwa Matias. Taarifa kamili ya mazishi itatolewa baada ya mipango kukamilika.

Bwana ametoa na Bwana ametwaa, Jina lake lihimidiwe. Amen

Pia soma > Yupo wapi kada maarufu wa CCM Nicodemus Banduka?

Nicodemus M. Banduka alikuwa mwanasiasa na kiongozi mashuhuri nchini Tanzania. Alishika nafasi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani kuanzia Juni 1998 hadi Februari 2003.

Kabla ya hapo, alikuwa Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kagera.

Shule ya sekondari inayoitwa Nicodemus Banduka Secondary School ipo, ikionesha heshima kwa mchango wake katika jamii.

banduka.jpg

Mzee Nocodemus Banduka wa tatu kutoka kushoto waliosimama akiwa na Wajumbe 18 kati ya 20 wa Tume ya watu 20 iliyotayarisha Katiba ya CCM​
 
Wapendwa! Kwa masikitiko makubwa, Familia ya Banduka inasikitika kuwatangazia kifo cha Mhe. Nicodemus Manase Banduka kilichotokea ghafla jana, Ijumaa jioni, wakati akipatiwa matibabu katika hospitali ya Mloganzila.

Mipango ya mazishi inafanyikia nyumbani kwake Kibaha - kwa Matias. Taarifa kamili ya mazishi itatolewa baada ya mipango kukamilika.

Bwana ametoa na Bwana ametwaa, Jina lake lihimidiwe. Amen

Pia soma > Yupo wapi kada maarufu wa CCM Nicodemus Banduka?
Yani mlienda mloganzila ,bora angebaki home tu
 
Wapendwa! Kwa masikitiko makubwa, Familia ya Banduka inasikitika kuwatangazia kifo cha Mhe. Nicodemus Manase Banduka kilichotokea ghafla jana, Ijumaa jioni, wakati akipatiwa matibabu katika hospitali ya Mloganzila.

Mipango ya mazishi inafanyikia nyumbani kwake Kibaha - kwa Matias. Taarifa kamili ya mazishi itatolewa baada ya mipango kukamilika.

Bwana ametoa na Bwana ametwaa, Jina lake lihimidiwe. Amen

Pia soma > Yupo wapi kada maarufu wa CCM Nicodemus Banduka?

Nicodemus M. Banduka alikuwa mwanasiasa na kiongozi mashuhuri nchini Tanzania. Alishika nafasi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani kuanzia Juni 1998 hadi Februari 2003.

Kabla ya hapo, alikuwa Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kagera.

Shule ya sekondari inayoitwa Nicodemus Banduka Secondary School ipo, ikionesha heshima kwa mchango wake katika jamii.

View attachment 3229192
Mzee Nocodemus Banduka wa tatu kutoka kushoto waliosimama akiwa na Wajumbe 18 kati ya 20 wa Tume ya watu 20 iliyotayarisha Katiba ya CCM​
Moja ya majina maarufu wakati huo yaliyotawala RTD na Redio one apumzike kwa amani!
 
Nicodemus M. Banduka alikuwa mwanasiasa na kiongozi mashuhuri nchini Tanzania. Alishika nafasi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani kuanzia Juni 1998 hadi Februari 2003.

Kabla ya hapo, alikuwa Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kagera.

Shule ya sekondari inayoitwa Nicodemus Banduka Secondary School ipo, ikionesha heshima kwa mchango wake katika jamii.
Tafuta historia yake vizuri, mkuu
  1. Aliwahi kuwa RC Iringa
  2. Aliwahi kuwa RC nadhani ni Mtwara au Lindi
  3. Nadhani alidunguliwa kuna kauli tete aliitoa somewhere ndipo akapotea kwenye siasa
 
Back
Top Bottom