Mzee Kikwete akishinda ataungana na Spika Dkt. Tulia na Mbowe kuongoza Taasisi kubwa duniani

Ikumbukwe kuwa Spika Dr Tulia ndio Rais wa Mabunge yote duniani

Mh Mbowe ndiye makamu wa Rais wa Umoja wa Vyama vya Demokrasia duniani

Tuzidi kumuombea mzee Kikwete awe Mtendaji mkuu wa Umoja wa Africa

Ahsanteni sana 😂
Huyo akishika ataenda kuizamisha Rwanda tu!

Kwa uelewa wangu Mimi huu mdogo nilionao!!

Yaani atakua organiser mzuri was majeshi ya Africa kuwapiga M23 na kagame Kwa ujumla!!

Na Hilo analiweza Kwa ushawishi alionao!!
 
Huyo akishika ataenda kuizamisha Rwanda tu!

Kwa uelewa wangu Mimi huu mdogo nilionao!!

Yaani atakua organiser mzuri was majeshi ya Africa kuwapiga M23 na kagame Kwa ujumla!!

Na Hilo analiweza Kwa ushawishi alionao!!
Mkuu mbona umekomalia Sana Rwanda? Kuna Nini? Acha kuwa bias. Ni udhaifu kugombania wadhifa mkubwa ili tu kupambana na Rwanda.
 
Ikumbukwe kuwa Spika Dr Tulia ndio Rais wa Mabunge yote duniani

Mh Mbowe ndiye makamu wa Rais wa Umoja wa Vyama vya Demokrasia duniani

Tuzidi kumuombea mzee Kikwete awe Mtendaji mkuu wa Umoja wa Africa

Ahsanteni sana 😂
Takataka, Kikwete ali fail nyumbani, huko nje ndiko atawe lolote.
 
Akiwa wewe unapata Nini? Riziwani amewahi kumuombea babako?? Ujinga sana unang'ang'ana kumuombea mume wamtu ambaye hata hakujui namkewe amuombee nani sasa?
Niachie kujiombea mimi na wangu alafu niombee nchi eti nikae naombea jambo binafsi lamtu...
Nchi inawajinga hii ooohweee!!
 
Akiwa wewe unapata Nini? Riziwani amewahi kumuombea babako?? Ujinga sana unang'ang'ana kumuombea mume wamtu ambaye hata hakujui namkewe amuombee nani sasa?
Niachie kujiombea mimi na wangu alafu niombee nchi eti nikae naombea jambo binafsi lamtu...
Nchi inawajinga hii ooohweee!!
Una msongo wa Umaskini 🐼😂
 
Akiwa wewe unapata Nini? Riziwani amewahi kumuombea babako?? Ujinga sana unang'ang'ana kumuombea mume wamtu ambaye hata hakujui namkewe amuombee nani sasa?
Niachie kujiombea mimi na wangu alafu niombee nchi eti nikae naombea jambo binafsi lamtu...
Nchi inawajinga hii ooohweee!!
Watnzania tumejawa na unafki, ni ajabu sana kuona leo eti watu wamuombee jk, mtu fisadi, mla rushwa, aliyeingiza taifa mikataba ya hovyo hasa ya gas n.k

Aliyesema watanzania ni kichwa cha mwendawazimu hakukosea.
 
Una msongo wa Umaskini 🐼😂
Pasipo unafki, Mkapa aliwahi mkataa Lowassa kwa kigezo kwamba ni mtendaji mbovu ndani ya nchi.

Ni mwehu tu kama wewe ndo anaweza akajitokeza akatoa sifa nzuri za JK while kipindi cha uongozi wake nchi ilikuwa inanuka kwa ufisadi mzito.
 
Back
Top Bottom