Mzee Jangala vs MC Pilipili: Nani zaidi?

Sio huenda, ni kweli tupu. Kwa pumba zile shule itoke wapi?
Ni mwalimu na hata Jangala ni mwalimu. Ila vipaji havilingani, kipaji ni tunu ya Mwenyezi Mungu. Mmoja anajitahidi kufosi, lakini mwingi ni asili yake kuigiza. Labda kutokana na muda, kijana atazoea na kukiendeleza kipaji chake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…