MY PREDICTION: Donald Trump is the next US President

Bush tayari kajiondoa
Carson atafata baada ya matokeo ya Nevada
 
wembe ni ule ule uliomkata lowasa ndo utakaomkata Trump, aliedhaniwa mshindi hakushinda. Wanachama huru tumejiandaa kumuingiza hillary madarakani
 
Nitajisikia mwenye amani sana kama Trump ataongoza taifa la Marekani.
1.Aondoe dhana za serikali za kiafrica kutegemea misaada.
2.Awakomeshe viongozi madictator wa Africa kama Museven, Mugabe na nk.
3.Yeye ni msema ukweli na msema ukweli lazima achukiwe.
4. Watu wanasema hoo hatutapata nafasi ya kwenda Marekani!! Marekani kuna maisha magumu tuu tena sana siku izi tofauti na zamani...uende Marekani kwa sababu maalumu ambayo Trump hata izuia...kila la kheri Donald Trump
 
Nitajisikia mwenye amani sana kama Trump ataongoza taifa la Marekani.
1.Aondoe dhana za serikali za kiafrica kutegemea misaada.
2.Awakomeshe viongozi madictator wa Africa kama Museven, Mugabe na nk.
3.Yeye ni msema ukweli na msema ukweli lazima achukiwe.
4. Watu wanasema hoo hatutapata nafasi ya kwenda Marekani!! Marekani kuna maisha magumu tuu tena sana siku izi tofauti na zamani...uende Marekani kwa sababu maalumu ambayo Trump hata izuia...kila la kheri Donald Trump
ivi trump amesema lini kwamba ataddeal na bara la africa?
 
Trillionaire wa kwanza kuwa Rais.
Nataka ashinde awaondoke madarakani mugabe, museveni , kagame, nkurunziza na kabila.

Nataka ashinde africa tuwe na nidhamu na uongozi.
 
Trillionaire wa kwanza kuwa Rais.
Nataka ashinde awaondoke madarakani mugabe, museveni , kagame, nkurunziza na kabila.

Nataka ashinde africa tuwe na nidhamu na uongozi.
i trump amesema lini kwamba ataddeal na bara la africa?
 
i trump amesema lini kwamba ataddeal na bara la africa?
We uko duniani gn nachukia mtu una smart phone hufuatilii mambo ya kidunia, huangalii taarifa ya hbr, husomi magazeti.

Trump kwenye midahalo ya kuzungumzia siasa za africa alisema akichaguliwa kwanza atawaondoa museven na mugabe madarakani na atawafunga na alisema africa inatakiwa itawaliwe tena kikoloni kufundishwa atawala bora
 
We uko duniani gn nachukia mtu una smart phone hufuatilii mambo ya kidunia, huangalii taarifa ya hbr, husomi magazeti.

Trump kwenye midahalo ya kuzungumzia siasa za africa alisema akichaguliwa kwanza atawaondoa museven na mugabe madarakani na atawafunga na alisema africa inatakiwa itawaliwe tena kikoloni kufundishwa atawala bora
naomba linki ya huo mdahalo niangalie maana midahalo mingi nimeangalia sijawahi ona akizungumzia kuhusu africa. naomba linki ya huo mdaharo tafadhari.
 
naomba linki ya huo mdahalo niangalie maana midahalo mingi nimeangalia sijawahi ona akizungumzia kuhusu africa. naomba linki ya huo mdaharo tafadhari.
Sio jukumu langu kukupa link nimekupa hints sasa ni ww kulifanyia kazi uwe updated sio unajiendea tuu.
 
Kuna Mdahalo mmoja Trump alisema, hakuna haja ya Marekani kutumia pesa nyingi kwenye vita inayozihusu nchi za nje, cha kufanya ni kuwaacha wakauana wao kwa wao.
 
Simpendi,lakini namkubali kwakuwa ni mkweli.Sema mimi natabiri Hilary Clinton ndo atakuwa rais,kwasababu ana minority groups nyingi zina msap[oti kama waislamu,wahamiaji,watu weusi,waumini wa Catholic na baadhi ya republicans wanamuona Trump kama 'ARROGANT' na mtu hatari.
 
We uko duniani gn nachukia mtu una smart phone hufuatilii mambo ya kidunia, huangalii taarifa ya hbr, husomi magazeti.

Trump kwenye midahalo ya kuzungumzia siasa za africa alisema akichaguliwa kwanza atawaondoa museven na mugabe madarakani na atawafunga na alisema africa inatakiwa itawaliwe tena kikoloni kufundishwa atawala bora
Using'ang'anie uzushi. Trump hajasema mambo hayo. Tumia smart phone yako vizuri ugoogle hizo habari. Na utagundua mara moja zimetoka kwenye mitandao ya satire ktk nchi kama Kenya. Wewe sasa tukuase, fuatilia habari lakini uwe na critical mind ya kuona kama habari ni ya kweli au ya uwongo. Na usikimbilie matusi.
 
Back
Top Bottom