Elitwege
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 5,270
- 10,919
Francis12 Leo kwenye uzinduzi wa ukuta kwenye machimbo ya Tanzanite, huko Mererani mkoa wa Manyara Rais Magufuli amemtambua rasmi mgunduzi wa madini hayo mzee Jumanne Ngoma na kutangaza serikali yake itampa millioni 100 !
Kwa mara ya kwanza mzee Jumanne Ngoma alitumiwa barua ya kutambuliwa na baba wa Taifa mwl Julius Nyerere mwaka 1967.
Awamu zilizofuata hazikuumiza kichwa kumtambua mzee huyu pamoja na kulalamika sana kuwa anaumwa na amepooza mguu hivyo kusitahili heshima yake kama mgunduzi namba moja wa madini ya Tanzanite.
Kwa hali hii mamillioni ya watanzania wanaendelea kutojutia kura zao kwa kumchagua Magufuli ambaye ni mcha Mungu na anapiga kazi kwelikweli kutatua kero za wananchi.
Kwa kasi hii kujifanya hauoni kasi ya Magufuli katika kutatua kero za wananchi na kujifanya wakala wa shetani ni kujitafutia vidonda vya tumbo bure na utashindwa na kulegea .
Kwa mara ya kwanza mzee Jumanne Ngoma alitumiwa barua ya kutambuliwa na baba wa Taifa mwl Julius Nyerere mwaka 1967.
Awamu zilizofuata hazikuumiza kichwa kumtambua mzee huyu pamoja na kulalamika sana kuwa anaumwa na amepooza mguu hivyo kusitahili heshima yake kama mgunduzi namba moja wa madini ya Tanzanite.
Kwa hali hii mamillioni ya watanzania wanaendelea kutojutia kura zao kwa kumchagua Magufuli ambaye ni mcha Mungu na anapiga kazi kwelikweli kutatua kero za wananchi.
Kwa kasi hii kujifanya hauoni kasi ya Magufuli katika kutatua kero za wananchi na kujifanya wakala wa shetani ni kujitafutia vidonda vya tumbo bure na utashindwa na kulegea .