Mwijaku alivyosambaza picha za utupu za Menina nikajua hana akili

Mwijaku anakigombna na yule mchaga wake ,wakipiga pasu mali basi mtamsahau ... Wametoka mbali sana na yule ana mchango mkubwa kwenye mafanikio yake.
Kwanza mi namuona mkewe ana mahesabu kuna siku atamwaga mwijako sema hapo kwenye kumsahau sijui maana hana mshipa wa aibu ataendeleza wehu wake kama kawaida.
 
Kwanza mi namuona mkewe ana mahesabu kuna siku atamwaga mwijako sema hapo kwenye kumsahau sijui maana hana mshipa wa aibu ataendeleza wehu wake kama kawaida.

Mwijaku amerise juzi hapa hana hata miaka 10 ya umaarufu ,unaweza kufanya tatizo mpaka dili zote zikakata ghafla,ajira ukafukuzqa .. Ukakosa hata wa matangazo ya dawa za nguvu za kiume ...Watu ndivyo wanavyofilisika.
 
mwijaku ni mpuuzi aliyeweza kutengeneza hela kwa upuuzi wake.

kipato cha mwijaku kwa mwezi ni around milioni 8 mpaka 10

kwa kipato hicho hapa Tanzania wanawake watakukubali tu hata ukiwa mpuuzi

Tanzania kuna upungufu mkubwa sana wa wanaume wanaoweza kuhudumia wanawake ki mahitaji, hapo ndipo kina mwijaku na wenye vipato wengine wanapotake advantage kuchezea wanawake
Umemaliza,huo ndio ukweli.
Kuna wanawake wengi tena wengine ni wa heshima lakini huwa wanaingia sehemu ambazo sio sahihi kwa sababu ya pesa
 
Mwanaume anayesambaza picha za utupu za mpenzi wake,hana akili.

Kushinda ile kesi haimaanishi hakufanya,mahakama zetu tunazijua

Ukiangalia matwndo yake tu unajua Mwijaku amekulia makuzi ya kuunga unga sana anajifariji kuponya vidonda vya utotoni

Toto zuri kama lile mwijaku akariharibia maisha mpaka anekonda na hapati tena dili za u MC
Hahaha
 
Mwijaku anakigombna na yule mchaga wake ,wakipiga pasu mali basi mtamsahau ... Wametoka mbali sana na yule ana mchango mkubwa kwenye mafanikio yake.
Labda kama yule dada alikuwa anawekeza kwa akili na kwa maandishi bila ivo mmhh itakuwa kidogo
 
Mwanaume anayesambaza picha za utupu za mpenzi wake,hana akili.

Kushinda ile kesi haimaanishi hakufanya,mahakama zetu tunazijua

Ukiangalia matwndo yake tu unajua Mwijaku amekulia makuzi ya kuunga unga sana anajifariji kuponya vidonda vya utotoni

Toto zuri kama lile mwijaku akariharibia maisha mpaka anekonda na hapati tena dili za u MC

Mkewe na yeye chizi ,mtu una kazi yako nzuri tu ya bank ,jitu ambalo halijielewi kutembea na malaya tu halafu linakupaka mafuta kwa mogongop wa chupa na yeye lipo limetulia ,file for divorce mgawane jumba ufanye maisha yako ,jinsi anavyoichapisha nje sijui kama mzima maana menina na yeye ana skendo ya ngoma.
 
Sawa ni mpuuzi mjinga Hana akili je umeshafikiria unaingiza kisa gan kinachomzid huyo mpuuz mwijaku😀
Asa long as anaingiza pesa zake kihalali na kuishi maisha mazur kwakwel I salute him sema Sina kipawa Cha kupiga kelele na kuongea ovyo ningekuwa nacho nisingefikiria mara mbili kutengeneza pesa Kwa mdomo mbona ingekua kazi yangu😂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom