Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti Chadema ni paka na panya

CCM inatawala nchi kwa sasa, Makada wake wapo bize mitandaoni kustawisha ubaguzi na uchawa.

Kisha tunaambiwa CCM ndiyo Ilani iliyoshinda.
Lema(binamu yake Mbowe) ,Mrema(kaoa kwa akina mbowe)na Mbowe wote ni wasemaji wa chama ,hapo unaonaje mkuu?
 
Lema(binamu yake Mbowe) ,Mrema(kaoa kwa akina mbowe)na Mbowe wote ni wasemaji wa chama ,hapo unaonaje mkuu?
Nasema acha upumbavu.
Elimu yetu ina shida
Mfumo wa kilimo ni holela
Katiba ya nchi haipewi heshima
Nishati ya shida kila uchao
Mfumuko wa bei
na kadhalika......


Hebu tuyatatue hayo kwanza, kwa sababu hao unaowataja hawaongezi wala kupunguza ugali mezani kwako
 
Kama wewe ni Try Again muda huu ulitakiwa uwe busy kumalizana na Kibu Denis.
 
CDM haijawahi kurudia mgombea Urais.

Lissu Yuko sawa, dhambi ukiificha Huwa inasambaa mithili ya cancer, ukiikemea wazi inakimbia.

CHADEMA Ina nguvu sasa kuliko wakati wowote.
 
Vita ya urais kati ya Lissu na Mbowe yaipasua CHADEMA.


Mgogoro mkubwa wa madaraka waibuka kuwania ugombea urais 2025

Lissu akianika chama chake hadharani, asema CHADEMA imekithiri rushwa

Ashutumu uongozi wa chama kumnyima pesa za maandamano na mikutano ya hadhara


Mei 3, 2024

Na Mwandishi Wetu
Iringa

Vita kubwa ya madaraka kati ya Tundu Lissu na Freeman Mbowe imeibuka ndani ya CHADEMA na kukipasua chama hicho kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka huu na uchaguzi mkuu mwakani.

Chimbuko la mgogoro huo wa maslahi ni nani ateuliwe na CHADEMA kuwania urais mwaka 2025 kati ya Lissu na Mbowe.

Mgogoro huo kati ya Mbowe na Lissu umekuwa ukifukuta chini kwa chini ndani ya chama kwa takribani miaka minne, kabla ya kuibuka rasmi hadharani.

Hii ni baada ya Lissu kutangaza jukwaani jana mkoani Iringa kuwa rushwa imekithiri kwenye uchaguzi wa ndani wa CHADEMA, ikiashiria kuwa yeye na Mbowe wanapambana kupanga safu zao za viongozi kwenye chama hicho nchi nzima ili wawasaidie kuupata ugombea urais.

"Kuna mtafaruku mkubwa sana wa uchaguzi ndani ya chama chetu," Lissu alisema jana mwenye mkutano wa hadhara Iringa.

"Kuna pesa nyingi ajabu kwenye uchaguzi huu (ndani ya CHADEMA)."

Lissu alilalamika kuwa amekuwa akiambiwa na uongozi wa chama chake kuwa hakuna pesa za kulipia mikutano yake ya hadhara, lakini anashangaa kuona kuna pesa za rushwa kwenye uchaguzi wa ndani.

Maandamano na mikutano ya Lissu mikoani yanaonekana kukosa mvuto na kupata watu wachache kulinganisha na mikutano ambayo imekuwa inafanywa na Mbowe.

Kitendo cha Lissu kulalamika hadharani kuhusu rushwa ndani ya chama na kunyimwa pesa za maandamano na mikutano ya hadhara, kimetafsiriwa na baadhi ya Wanachadema kama utovu wa nidhamu na kukidhalilisha chama.

Utaratibu wa CHADEMA ni kuwa kiongozi huyo alitakiwa kuwasilisha malalamiko yake kwenye vikao rasmi vya ndani vya chama, ikiwemo Kamati Kuu, siyo jukwaani.

MAFAHALI WAWILI, ZIZI MOJA

Kambi ya Lissu inadai kuwa Lissu ananyimwa pesa za mikutano na chama kwa makusudi na nguvu zote zinapelekwa kwa Mbowe ili ionekane kuwa Mbowe anakubalika zaidi na wananchi kwani mikutano yake hujaza watu zaidi ya Lissu.

Mbowe na Lissu wote wamewahi kugombea urais mara moja na kushindwa na mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Taarifa kutoka ndani ya CHADEMA zinasema kuwa Mbowe na Lissu wote wanataka kugombea urais kupitia chama hicho mwaka 2025 na hiyo ndiyo sababu kuu ya mtafaruku ndani ya chama hicho.

Hali hii imesababisha CHADEMA kumeguka katikati kwenye kambi mbili.

Kambi moja ina viongozi na wanachama ambao wanamuunga mkono Mwenyekiti Mbowe na wanamuona yeye ndiyo mtu sahihi wa kuivusha CHADEMA kama mgombea urais mwakani.

Kambi ya pili iko na Lissu na inamtaka Makamu Mwenyekiti huyo wa CHADEMA awe mgombea urais.

Lissu anaonekana kumuunga mkono Mwenyekiti wa CHADEMA wa Kanda ya Nyasa, Peter Msigwa, dhidi ya Joseph Mbilinyi 'Sugu' ambaye anawania nafasi hiyo kwenye uchaguzi wa ndani wa chama hicho.

Licha ya uongozi wa CHADEMA kumkataza Lissu asifanye mkutano Iringa, asubiri hadi uchaguzi wa ndani upite, Lissu alikaidi maagizo ya chama na kufanya mkutano na kutangaza hadharani kuwa kuna mtafaruku mkubwa na rushwa ndani ya chama.

Lissu aliwataka wanachama wa CHADEMA nchi nzima kutochagua viongozi wanaotumia pesa kwenye uchaguzi, ikiwa anaonekana kurusha tuhuma kwa Sugu ambaye anasemekana kuwa karibu na Mbowe.

Wachambuzi wa masuala ya kisiasa nchini wanasema kuwa vita ya Mbowe na Lissu inatarajiwa kupamba moto zaidi siku zijazo, kwani mafahali hao wawili hawawezi kuishi kwenye zizi moja.

Mgogoro wa madaraka na tuhuma za rushwa ndani ya CHADEMA zinaibua maswali kuwa chama hiki kinachojipambanua kama mbadala wa CCM, iwapo kweli kiko tayari kuongoza nchi.
Nonsense
 
Precendence ya kukemea rushwa ndani ya chama inakijenga chama zaidi huko mbeleni kuliko kufumbia macho rushwa.
Wznachadema wa miaka 20 ijayo watakuwa wanarejea hotuba za Lissu kukemeana kwenye ishu za Rushwa, na hii itakuwa na afya zaidi kwa chama kuliko kufukia uozo
kukemea rushwa ndiyo kazi yenyewe ya wanasiasa hata CVM hufanya hivyo
 
Acheni propaganda ya kuipasua CHADEMA, chama hicho kiko imara na hakina mpasuko. Mmekazana kukipondea propaganda chafu kwa kuwa mnaona ni kitisho kwa chama chenu kikongwe kilichoishiwa na sera za kujenga nchi. Mnajua uchaguzi ukiitishwa hata sasa chama chenu kitakwenda kupumzishwa makubusho ya taifa au kiwe chama cha upinzani
 
Vita ya urais kati ya Lissu na Mbowe yaipasua CHADEMA.


Mgogoro mkubwa wa madaraka waibuka kuwania ugombea urais 2025

Lissu akianika chama chake hadharani, asema CHADEMA imekithiri rushwa

Ashutumu uongozi wa chama kumnyima pesa za maandamano na mikutano ya hadhara


Mei 3, 2024

Na Mwandishi Wetu
Iringa

Vita kubwa ya madaraka kati ya Tundu Lissu na Freeman Mbowe imeibuka ndani ya CHADEMA na kukipasua chama hicho kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka huu na uchaguzi mkuu mwakani.

Chimbuko la mgogoro huo wa maslahi ni nani ateuliwe na CHADEMA kuwania urais mwaka 2025 kati ya Lissu na Mbowe.

Mgogoro huo kati ya Mbowe na Lissu umekuwa ukifukuta chini kwa chini ndani ya chama kwa takribani miaka minne, kabla ya kuibuka rasmi hadharani.

Hii ni baada ya Lissu kutangaza jukwaani jana mkoani Iringa kuwa rushwa imekithiri kwenye uchaguzi wa ndani wa CHADEMA, ikiashiria kuwa yeye na Mbowe wanapambana kupanga safu zao za viongozi kwenye chama hicho nchi nzima ili wawasaidie kuupata ugombea urais.

"Kuna mtafaruku mkubwa sana wa uchaguzi ndani ya chama chetu," Lissu alisema jana mwenye mkutano wa hadhara Iringa.

"Kuna pesa nyingi ajabu kwenye uchaguzi huu (ndani ya CHADEMA)."

Lissu alilalamika kuwa amekuwa akiambiwa na uongozi wa chama chake kuwa hakuna pesa za kulipia mikutano yake ya hadhara, lakini anashangaa kuona kuna pesa za rushwa kwenye uchaguzi wa ndani.

Maandamano na mikutano ya Lissu mikoani yanaonekana kukosa mvuto na kupata watu wachache kulinganisha na mikutano ambayo imekuwa inafanywa na Mbowe.

Kitendo cha Lissu kulalamika hadharani kuhusu rushwa ndani ya chama na kunyimwa pesa za maandamano na mikutano ya hadhara, kimetafsiriwa na baadhi ya Wanachadema kama utovu wa nidhamu na kukidhalilisha chama.

Utaratibu wa CHADEMA ni kuwa kiongozi huyo alitakiwa kuwasilisha malalamiko yake kwenye vikao rasmi vya ndani vya chama, ikiwemo Kamati Kuu, siyo jukwaani.

MAFAHALI WAWILI, ZIZI MOJA

Kambi ya Lissu inadai kuwa Lissu ananyimwa pesa za mikutano na chama kwa makusudi na nguvu zote zinapelekwa kwa Mbowe ili ionekane kuwa Mbowe anakubalika zaidi na wananchi kwani mikutano yake hujaza watu zaidi ya Lissu.

Mbowe na Lissu wote wamewahi kugombea urais mara moja na kushindwa na mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Taarifa kutoka ndani ya CHADEMA zinasema kuwa Mbowe na Lissu wote wanataka kugombea urais kupitia chama hicho mwaka 2025 na hiyo ndiyo sababu kuu ya mtafaruku ndani ya chama hicho.

Hali hii imesababisha CHADEMA kumeguka katikati kwenye kambi mbili.

Kambi moja ina viongozi na wanachama ambao wanamuunga mkono Mwenyekiti Mbowe na wanamuona yeye ndiyo mtu sahihi wa kuivusha CHADEMA kama mgombea urais mwakani.

Kambi ya pili iko na Lissu na inamtaka Makamu Mwenyekiti huyo wa CHADEMA awe mgombea urais.

Lissu anaonekana kumuunga mkono Mwenyekiti wa CHADEMA wa Kanda ya Nyasa, Peter Msigwa, dhidi ya Joseph Mbilinyi 'Sugu' ambaye anawania nafasi hiyo kwenye uchaguzi wa ndani wa chama hicho.

Licha ya uongozi wa CHADEMA kumkataza Lissu asifanye mkutano Iringa, asubiri hadi uchaguzi wa ndani upite, Lissu alikaidi maagizo ya chama na kufanya mkutano na kutangaza hadharani kuwa kuna mtafaruku mkubwa na rushwa ndani ya chama.

Lissu aliwataka wanachama wa CHADEMA nchi nzima kutochagua viongozi wanaotumia pesa kwenye uchaguzi, ikiwa anaonekana kurusha tuhuma kwa Sugu ambaye anasemekana kuwa karibu na Mbowe.

Wachambuzi wa masuala ya kisiasa nchini wanasema kuwa vita ya Mbowe na Lissu inatarajiwa kupamba moto zaidi siku zijazo, kwani mafahali hao wawili hawawezi kuishi kwenye zizi moja.

Mgogoro wa madaraka na tuhuma za rushwa ndani ya CHADEMA zinaibua maswali kuwa chama hiki kinachojipambanua kama mbadala wa CCM, iwapo kweli kiko tayari kuongoza nchi.
Hayo hayakwepeki. Changamoto ni lazima. Chadema waweke nguvu kwanza majimboni. Kwa suala la urais bila wawakilishi wa kutosha mjengoni ni ndoto.
 
Vita ya urais kati ya Lissu na Mbowe yaipasua CHADEMA.


Mgogoro mkubwa wa madaraka waibuka kuwania ugombea urais 2025

Lissu akianika chama chake hadharani, asema CHADEMA imekithiri rushwa

Ashutumu uongozi wa chama kumnyima pesa za maandamano na mikutano ya hadhara


Mei 3, 2024

Na Mwandishi Wetu
Iringa

Vita kubwa ya madaraka kati ya Tundu Lissu na Freeman Mbowe imeibuka ndani ya CHADEMA na kukipasua chama hicho kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka huu na uchaguzi mkuu mwakani.

Chimbuko la mgogoro huo wa maslahi ni nani ateuliwe na CHADEMA kuwania urais mwaka 2025 kati ya Lissu na Mbowe.

Mgogoro huo kati ya Mbowe na Lissu umekuwa ukifukuta chini kwa chini ndani ya chama kwa takribani miaka minne, kabla ya kuibuka rasmi hadharani.

Hii ni baada ya Lissu kutangaza jukwaani jana mkoani Iringa kuwa rushwa imekithiri kwenye uchaguzi wa ndani wa CHADEMA, ikiashiria kuwa yeye na Mbowe wanapambana kupanga safu zao za viongozi kwenye chama hicho nchi nzima ili wawasaidie kuupata ugombea urais.

"Kuna mtafaruku mkubwa sana wa uchaguzi ndani ya chama chetu," Lissu alisema jana mwenye mkutano wa hadhara Iringa.

"Kuna pesa nyingi ajabu kwenye uchaguzi huu (ndani ya CHADEMA)."

Lissu alilalamika kuwa amekuwa akiambiwa na uongozi wa chama chake kuwa hakuna pesa za kulipia mikutano yake ya hadhara, lakini anashangaa kuona kuna pesa za rushwa kwenye uchaguzi wa ndani.

Maandamano na mikutano ya Lissu mikoani yanaonekana kukosa mvuto na kupata watu wachache kulinganisha na mikutano ambayo imekuwa inafanywa na Mbowe.

Kitendo cha Lissu kulalamika hadharani kuhusu rushwa ndani ya chama na kunyimwa pesa za maandamano na mikutano ya hadhara, kimetafsiriwa na baadhi ya Wanachadema kama utovu wa nidhamu na kukidhalilisha chama.

Utaratibu wa CHADEMA ni kuwa kiongozi huyo alitakiwa kuwasilisha malalamiko yake kwenye vikao rasmi vya ndani vya chama, ikiwemo Kamati Kuu, siyo jukwaani.

MAFAHALI WAWILI, ZIZI MOJA

Kambi ya Lissu inadai kuwa Lissu ananyimwa pesa za mikutano na chama kwa makusudi na nguvu zote zinapelekwa kwa Mbowe ili ionekane kuwa Mbowe anakubalika zaidi na wananchi kwani mikutano yake hujaza watu zaidi ya Lissu.

Mbowe na Lissu wote wamewahi kugombea urais mara moja na kushindwa na mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Taarifa kutoka ndani ya CHADEMA zinasema kuwa Mbowe na Lissu wote wanataka kugombea urais kupitia chama hicho mwaka 2025 na hiyo ndiyo sababu kuu ya mtafaruku ndani ya chama hicho.

Hali hii imesababisha CHADEMA kumeguka katikati kwenye kambi mbili.

Kambi moja ina viongozi na wanachama ambao wanamuunga mkono Mwenyekiti Mbowe na wanamuona yeye ndiyo mtu sahihi wa kuivusha CHADEMA kama mgombea urais mwakani.

Kambi ya pili iko na Lissu na inamtaka Makamu Mwenyekiti huyo wa CHADEMA awe mgombea urais.

Lissu anaonekana kumuunga mkono Mwenyekiti wa CHADEMA wa Kanda ya Nyasa, Peter Msigwa, dhidi ya Joseph Mbilinyi 'Sugu' ambaye anawania nafasi hiyo kwenye uchaguzi wa ndani wa chama hicho.

Licha ya uongozi wa CHADEMA kumkataza Lissu asifanye mkutano Iringa, asubiri hadi uchaguzi wa ndani upite, Lissu alikaidi maagizo ya chama na kufanya mkutano na kutangaza hadharani kuwa kuna mtafaruku mkubwa na rushwa ndani ya chama.

Lissu aliwataka wanachama wa CHADEMA nchi nzima kutochagua viongozi wanaotumia pesa kwenye uchaguzi, ikiwa anaonekana kurusha tuhuma kwa Sugu ambaye anasemekana kuwa karibu na Mbowe.

Wachambuzi wa masuala ya kisiasa nchini wanasema kuwa vita ya Mbowe na Lissu inatarajiwa kupamba moto zaidi siku zijazo, kwani mafahali hao wawili hawawezi kuishi kwenye zizi moja.

Mgogoro wa madaraka na tuhuma za rushwa ndani ya CHADEMA zinaibua maswali kuwa chama hiki kinachojipambanua kama mbadala wa CCM, iwapo kweli kiko tayari kuongoza nchi.
Siku chache zijazo Lissu anafukuzwa chadema,wachaga wasikie tu hawataki masihala na taasisi yao
 
Nasema acha upumbavu.
Elimu yetu ina shida
Mfumo wa kilimo ni holela
Katiba ya nchi haipewi heshima
Nishati ya shida kila uchao
Mfumuko wa bei
na kadhalika......


Hebu tuyatatue hayo kwanza, kwa sababu hao unaowataja hawaongezi wala kupunguza ugali mezani kwako
Tulitegemea tuwe na vyama mmbadala vyenye tija badala yake ndio unavyoona cdm imekuwa chaka la wachagga wasiokuwa na kazi za kufanya
 
Halafu wameyachagua yale mapunguani kabisa yasiyo na uwezo hata kusema uwongo wa kukaribia ukweli. Yanaropoka kiasi kwamba hata mwenye akili ndogo anajua ni uwongo.
sio waneyachagua ndo yaliyopo hayo 😁😁😁
 
Vita ya urais kati ya Lissu na Mbowe yaipasua CHADEMA.

Mgogoro mkubwa wa madaraka waibuka kuwania ugombea urais 2025

Lissu akianika chama chake hadharani, asema CHADEMA imekithiri rushwa

Ashutumu uongozi wa chama kumnyima pesa za maandamano na mikutano ya hadhara


Mei 3, 2024

Na Mwandishi Wetu
Iringa

Vita kubwa ya madaraka kati ya Tundu Lissu na Freeman Mbowe imeibuka ndani ya CHADEMA na kukipasua chama hicho kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka huu na uchaguzi mkuu mwakani.

Chimbuko la mgogoro huo wa maslahi ni nani ateuliwe na CHADEMA kuwania urais mwaka 2025 kati ya Lissu na Mbowe.

Mgogoro huo kati ya Mbowe na Lissu umekuwa ukifukuta chini kwa chini ndani ya chama kwa takribani miaka minne, kabla ya kuibuka rasmi hadharani.

Hii ni baada ya Lissu kutangaza jukwaani jana mkoani Iringa kuwa rushwa imekithiri kwenye uchaguzi wa ndani wa CHADEMA, ikiashiria kuwa yeye na Mbowe wanapambana kupanga safu zao za viongozi kwenye chama hicho nchi nzima ili wawasaidie kuupata ugombea urais.

"Kuna mtafaruku mkubwa sana wa uchaguzi ndani ya chama chetu," Lissu alisema jana mwenye mkutano wa hadhara Iringa.

"Kuna pesa nyingi ajabu kwenye uchaguzi huu (ndani ya CHADEMA)."

Lissu alilalamika kuwa amekuwa akiambiwa na uongozi wa chama chake kuwa hakuna pesa za kulipia mikutano yake ya hadhara, lakini anashangaa kuona kuna pesa za rushwa kwenye uchaguzi wa ndani.

Maandamano na mikutano ya Lissu mikoani yanaonekana kukosa mvuto na kupata watu wachache kulinganisha na mikutano ambayo imekuwa inafanywa na Mbowe.

Kitendo cha Lissu kulalamika hadharani kuhusu rushwa ndani ya chama na kunyimwa pesa za maandamano na mikutano ya hadhara, kimetafsiriwa na baadhi ya Wanachadema kama utovu wa nidhamu na kukidhalilisha chama.

Utaratibu wa CHADEMA ni kuwa kiongozi huyo alitakiwa kuwasilisha malalamiko yake kwenye vikao rasmi vya ndani vya chama, ikiwemo Kamati Kuu, siyo jukwaani.

MAFAHALI WAWILI, ZIZI MOJA

Kambi ya Lissu inadai kuwa Lissu ananyimwa pesa za mikutano na chama kwa makusudi na nguvu zote zinapelekwa kwa Mbowe ili ionekane kuwa Mbowe anakubalika zaidi na wananchi kwani mikutano yake hujaza watu zaidi ya Lissu.

Mbowe na Lissu wote wamewahi kugombea urais mara moja na kushindwa na mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Taarifa kutoka ndani ya CHADEMA zinasema kuwa Mbowe na Lissu wote wanataka kugombea urais kupitia chama hicho mwaka 2025 na hiyo ndiyo sababu kuu ya mtafaruku ndani ya chama hicho.

Hali hii imesababisha CHADEMA kumeguka katikati kwenye kambi mbili.

Kambi moja ina viongozi na wanachama ambao wanamuunga mkono Mwenyekiti Mbowe na wanamuona yeye ndiyo mtu sahihi wa kuivusha CHADEMA kama mgombea urais mwakani.

Kambi ya pili iko na Lissu na inamtaka Makamu Mwenyekiti huyo wa CHADEMA awe mgombea urais.

Lissu anaonekana kumuunga mkono Mwenyekiti wa CHADEMA wa Kanda ya Nyasa, Peter Msigwa, dhidi ya Joseph Mbilinyi 'Sugu' ambaye anawania nafasi hiyo kwenye uchaguzi wa ndani wa chama hicho.

Licha ya uongozi wa CHADEMA kumkataza Lissu asifanye mkutano Iringa, asubiri hadi uchaguzi wa ndani upite, Lissu alikaidi maagizo ya chama na kufanya mkutano na kutangaza hadharani kuwa kuna mtafaruku mkubwa na rushwa ndani ya chama.

Lissu aliwataka wanachama wa CHADEMA nchi nzima kutochagua viongozi wanaotumia pesa kwenye uchaguzi, ikiwa anaonekana kurusha tuhuma kwa Sugu ambaye anasemekana kuwa karibu na Mbowe.

Wachambuzi wa masuala ya kisiasa nchini wanasema kuwa vita ya Mbowe na Lissu inatarajiwa kupamba moto zaidi siku zijazo, kwani mafahali hao wawili hawawezi kuishi kwenye zizi moja.

Mgogoro wa madaraka na tuhuma za rushwa ndani ya CHADEMA zinaibua maswali kuwa chama hiki kinachojipambanua kama mbadala wa CCM, iwapo kweli kiko tayari kuongoza nchi.

Global Publishers
Sawa.
 
Vita ya urais kati ya Lissu na Mbowe yaipasua CHADEMA.

Mgogoro mkubwa wa madaraka waibuka kuwania ugombea urais 2025

Lissu akianika chama chake hadharani, asema CHADEMA imekithiri rushwa

Ashutumu uongozi wa chama kumnyima pesa za maandamano na mikutano ya hadhara
Acheni tu, yaani wanabomoa nyumba wenyewe. Hii niliijua toka zamani, ilisubiri muda tu. Hakuna chama cha kikabila wala cha kidini kitatoboa Tanzania.
Hii ni kwa sababu watanzania wana IQ kubwa sana kuliko wanasiasa wenye shule zao na mapesa yao. Huwaiti watanzania kwenye maandamano wasiyoyajua madhumuni yake, ukafikiri watajaa kukufuata.
 
Acheni tu, yaani wanabomoa nyumba wenyewe. Hii niliijua toka zamani, ilisubiri muda tu. Hakuna chama cha kikabila wala cha kidini kitatoboa Tanzania.
Hii ni kwa sababu watanzania wana IQ kubwa sana kuliko wanasiasa wenye shule zao na mapesa yao. Huwaiti watanzania kwenye maandamano wasiyoyajua madhumuni yake, ukafikiri watajaa kukufuata.
Umechelewa sana ,chadema ipo imara kuliko jana, izi propaganda za ukanda ,udini ni zilipendwa ,na hazikuwahi zaa matunda
 
Umechelewa sana ,chadema ipo imara kuliko jana, izi propaganda za ukanda ,udini ni zilipendwa ,na hazikuwahi zaa matunda
Maua yashatokeza na matunda yamemea, tunasubiri matunda yaive tu tuanze kuyatungua na kula chini ya kivuli cha mtu. Ahaaaa, we bado hujaamini tu.
 
Back
Top Bottom