lameckkawawa
JF-Expert Member
- Sep 13, 2015
- 944
- 665
Rc ajatutendea haki sasa hii vita ilikua hatuoneaini aibu ilikua unamua nyani uku unamwangalia usoni sasa imekuaje hii inapigwa kimya kimya na police wateenda kimya kimya
Nimeona jina lako mtoa mada.
Lipo na kigogo mmoja na mtoto wa kigoogo kigogo gogo. Ambae siku hizi kapunguza mbwembwe Kama vile hayupo
Hivi unafikiri nchi kudondoka ni kitu kirahisi rahisi tu, misingi iliyowekwa kuimarisha nchi hata kama mfano ungekuwa wewe ndio mkuu wa nchi alafu ukatajwa kweli list usifikiri ei nchi itadondoka kama jani la mparachichi au mbuyu ,Kuna majina nimeona kwa jamaa yametoka sijajua watu nao wamefanya yao au ila nimeona kuna mawaziri,waziri mstaafu,watoto wa vigogo mmmmh hatari nchi inakwenda kudondoka kama kweli yale majina