Mwenye majina ya drug dealer awamu ya tatu ya Makonda aidondoshe humu

Rc ajatutendea haki sasa hii vita ilikua hatuoneaini aibu ilikua unamua nyani uku unamwangalia usoni sasa imekuaje hii inapigwa kimya kimya na police wateenda kimya kimya
 
Nimeona jina lako mtoa mada.
Lipo na kigogo mmoja na mtoto wa kigoogo kigogo gogo. Ambae siku hizi kapunguza mbwembwe Kama vile hayupo

Acha uongo, mimi ni mtanzania mwenye uchungu na nchi yangu, niko kwenye mapambano dhidi ya madawa ya kulevya, naomba tushikamane kwa hili suala muhimu la Kitaifa.
 
Kuna majina nimeona kwa jamaa yametoka sijajua watu nao wamefanya yao au ila nimeona kuna mawaziri,waziri mstaafu,watoto wa vigogo mmmmh hatari nchi inakwenda kudondoka kama kweli yale majina
Hivi unafikiri nchi kudondoka ni kitu kirahisi rahisi tu, misingi iliyowekwa kuimarisha nchi hata kama mfano ungekuwa wewe ndio mkuu wa nchi alafu ukatajwa kweli list usifikiri ei nchi itadondoka kama jani la mparachichi au mbuyu ,
 
Duu!! Watu hamna jema wakitaja majina mnalalamika wakifuatilia kimyakimya bado ni shida.
 
Kipindi hiki tumetoa majina kwa namba yaani kama results za form 4 ukiona namba yako tu jua umo
 
1,2,3,4,5,6,7,8,9,10,11,12,13,14,15,16,17,18,19,20,21,22,23,24,25,26,27,28,29,30,31,32,33,34,35,36,37,38,38,3
40,41,42,43,44,45,46,47,48,49,50,51,52,53,54,55,56,57,58,59,60,61,62,63,64,65,66,67,68,69,70,71,72,73,74,75,76,77,78,79,80,81,82,83,84,85,86,87,88,89,90,91,92,93,94,95,96,97....
 
Kwa hakika watanzania waliowengi wanashauku kubwa sana kujua ni akina nani wamo kwenye hii list ya watu 97 Wanaojishughulisha na biashara haramu ya Madawa ya kulevya. hasa baada ya mkuu wa mkoa kusema kuna watoto wa viongozi.

Comment nyingine ni ile aliyosema kwamba katika majina haya kuna mtikisiko kuliko list iliyopita waliotajwa kina Idd Azan, Freeman Mbowe na Yusuf Manji.


Tunaomba utoe na sababu kwanini unahisi mtu huyo yumo, ukitaja jina tuu your comment is null and void.
 
Mmmhhhhh,
Ngoja nisubiri hapa,
Wakifika 96 mi nitamalizia kutaja wa 97
 
Back
Top Bottom