babumapunda
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 4,643
- 3,301
Hiyo ndio sv
atakuwa haelewi cv maana yake nn mueleweshe mkuu
Hiyo ndio sv
Uongo ndiyo sifa yake kubwa.Nachojua aliwahi kuwa mwandishi wa gazeti la RAI lile la zamani, alifukuzwa kazi kati ya mwaka 2000 au 2001 kwa kudaiwa kuandika habari za uzushi na za uwongo
Wewe ni mwanaume au mwanamke? kwa hisia zangu kwa muonekano ni mwanaume ila una vijinasaba vya kike kwani umekaa kiumbea mbea mno!
sanasana labda nikuambie sifa za Kubenea hazina tofauti na Lema wote ni watetezi wa wanyonge
ww ni muongo sio mbunge wako sema zaidi zaidi wataka kuleta siasa za maji taka na kuchafuana .
kama ww ni mwana ubungo huwezi uliza hili ina maana kwenye mikutano ulihudhuria majibu yako yote unayo
Kubenea. Certificate in lunatism
Diploma in hearsay and lies
Mbowe bootlicker
Official Nyumbu
Teh teh teh!hakuna binadamu ambaye hana CV,labda hujui nini maana ya CV!Sisi kwetu CV uwa siyo muhimu sana ndiyo maana unaona hata mmiliki wa Chadema Mbowe hana CV yoyote lakini anawaongoza watu wenye degree, master's, PhD.
Sisi kwetu CV uwa siyo muhimu sana ndiyo maana unaona hata mmiliki wa Chadema Mbowe hana CV yoyote lakini anawaongoza watu wenye degree, master's, PhD.