Pre GE2025 Mwenezi CCM Rombo aweka plate number yenye vifupisho vya jina la Rais Samia. Hivi kiutaratibu hii imekaaje?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

McLaren

Member
Feb 19, 2025
63
124
Wakuu,

Hivi sheria zinasemaje kuhusu hizi plate number za kwenye magari?

Ni kwamba mimi naweza tu kuamka asubuhi nikaweka jina lolote as plate number au kuna muongozo ambao inabidi ufuatwe?

Vipi kwenye plate number nikaweka maneno yanayozua taharuki au nikaweka jina la mgombea Urais hasa kwenye kipindi cha Uchaguzi, inaruhusiwa?

Hivi karibuni kumekuwa na utitiri wa magari ambayo ya plate number ya SSH. Kuweka majina kama hayo kwenye plate number sio kampeni?

======================================


Katibu wa siasa, Mafunzo na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi CCM Wilaya ya Rombo Themistocles Massae ametia Fora kwa kuonekana na Gari yenye Plate No, SSH 2530, ikiwa inamlenga Rais Samia

 
Wakuu,

Hivi sheria zinasemaje kuhusu hizi plate number za kwenye magari.

Ni kwamba mimi naweza tu kuamka asubuhi nikaweka jina lolote as plate number au kuna muongozo ambao inabidi ufutwe?

Vipi kwenye plate number nikaweka maneno yanayozua taharuki au nikaweka jina la mgombea Urais hasa kwenye kipindi cha Uchaguzi inaruhusiwa?

Hivi karibuni kumekuwa na utitir wa magari ambayo ya plate number ya SSH. Kuweka majina kama hayo kwenye plate number sio kampeni?

======================================


Katibu wa siasa, Mafunzo na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi CCM Wilaya ya Rombo Themistocles Massae ametia Fora kwa kuonekana na Gari yenye Plate No, SSH 2530, ikiwa inamlenga Rais Samia

Chawax , chawanian, chawa syndrome, yale yale ya kujipendekeza
 
Huko Marekani kuna baibo ya D Trump.

...na ndegevita F47

"tunajifunza kutoka kwa wale wenye Demokrasia..."~jina kapuni
 
Tulikofikia ni kubaya kwa ovyo. Kila Alie ndani ya CCM anaweza kuamua chochote sasa na vyombo vya Umma vinavyohusika vikafyata mikia. Ccm imeimeza serikali yote. Wamefikia sasa kuvuruga utaratibu ovyo ovyo,na wanaangaliwa tu
 
Wakuu,

Hivi sheria zinasemaje kuhusu hizi plate number za kwenye magari?

Ni kwamba mimi naweza tu kuamka asubuhi nikaweka jina lolote as plate number au kuna muongozo ambao inabidi ufuatwe?

Vipi kwenye plate number nikaweka maneno yanayozua taharuki au nikaweka jina la mgombea Urais hasa kwenye kipindi cha Uchaguzi, inaruhusiwa?

Hivi karibuni kumekuwa na utitiri wa magari ambayo ya plate number ya SSH. Kuweka majina kama hayo kwenye plate number sio kampeni?

======================================


Katibu wa siasa, Mafunzo na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi CCM Wilaya ya Rombo Themistocles Massae ametia Fora kwa kuonekana na Gari yenye Plate No, SSH 2530, ikiwa inamlenga Rais Samia

TRA wanaruhusu Kuweka Jina Binafsi kama utalipia ada yake.
 
Wakuu,

Hivi sheria zinasemaje kuhusu hizi plate number za kwenye magari?
hii haina tatizo lolote, hiyo ni private plate number ambayo inaruhusiwa kisheria na hakuna tatizo lolote!。
Ni kwamba mimi naweza tu kuamka asubuhi nikaweka jina lolote as plate number au kuna muongozo ambao inabidi ufuatwe?
unaweza hata kuweka kibao Mimi Mungu na hakuna tatizo, ili mradi zisifanane na the official ones!
Vipi kwenye plate number nikaweka maneno yanayozua taharuki au nikaweka jina la mgombea Urais hasa kwenye kipindi cha Uchaguzi, inaruhusiwa?
hizo initial za SSH pia hazina tatizo lolote inaweza kuwa
Sasa Saa Hii
Sugua Sugua Hapa
Sasa Sili Halua
Sema Sema Hapana

mtu uko free kutumia initials zozote hakuna tatizo lolote!
P
 
Back
Top Bottom