Eli Cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 5,557
- 16,979
Mwendesha mashtaka Sebastián Basso wa Argentina ameomba hati za kimataifa za kukamatwa kwa Kiongozi Mkuu wa Iran, Ali Khamenei, na wengineo kuhusiana na shambulio la bomu la AMIA mwaka 1994, ambalo liliua watu 85.
Basso pia ametaka washukiwa wahukumiwe hata bila kuwepo mahakamani, kufuatia sheria mpya ya Rais Javier Milei.
Washukiwa ni maafisa wa zamani wa Iran na Hezbollah. Iran imekana kuhusika, lakini mahakama ya juu ya Argentina iliamua kuwa Iran na Hezbollah walihusika. Rais Milei ameahidi kuwawajibisha wahusika na kuitangaza Hamas kama kundi la kigaidi, akiilaumu Iran kwa ugaidi wa kimataifa.
=========================================
Prosecutor Sebastián Basso, who replaced the late Alberto Nisman, asked federal judge Daniel Rafecas to issue national and international arrest warrants for Khamenei, according to Argentine paper Clarin.
Basso also requested the application of trial in absentia for the remaining Iranian and Lebanese suspects named in the case.
Some of the high-level officials accused in the bombing case include former Iranian President Akbar Hashemi Rafsanjani, who has since died, then-Foreign Minister Ali Akbar Velayati, and former Intelligence Minister Ali Fallahian.
Others include former IRGC commander Mohsen Rezaee, former Quds Force commander Ahmad Vahidi, former Iranian diplomat Ahmad Reza Asghari, former cultural attaché Mohsen Rabbani, and Imad Mughniyeh, the late Hezbollah operations chief.
The move follows the passage of a law promoted by President Javier Milei last year, allowing trials in absentia in cases involving grave crimes.
Source: Iran International
Basso pia ametaka washukiwa wahukumiwe hata bila kuwepo mahakamani, kufuatia sheria mpya ya Rais Javier Milei.
Washukiwa ni maafisa wa zamani wa Iran na Hezbollah. Iran imekana kuhusika, lakini mahakama ya juu ya Argentina iliamua kuwa Iran na Hezbollah walihusika. Rais Milei ameahidi kuwawajibisha wahusika na kuitangaza Hamas kama kundi la kigaidi, akiilaumu Iran kwa ugaidi wa kimataifa.
=========================================
Prosecutor Sebastián Basso, who replaced the late Alberto Nisman, asked federal judge Daniel Rafecas to issue national and international arrest warrants for Khamenei, according to Argentine paper Clarin.
Basso also requested the application of trial in absentia for the remaining Iranian and Lebanese suspects named in the case.
Some of the high-level officials accused in the bombing case include former Iranian President Akbar Hashemi Rafsanjani, who has since died, then-Foreign Minister Ali Akbar Velayati, and former Intelligence Minister Ali Fallahian.
Others include former IRGC commander Mohsen Rezaee, former Quds Force commander Ahmad Vahidi, former Iranian diplomat Ahmad Reza Asghari, former cultural attaché Mohsen Rabbani, and Imad Mughniyeh, the late Hezbollah operations chief.
The move follows the passage of a law promoted by President Javier Milei last year, allowing trials in absentia in cases involving grave crimes.
Source: Iran International