miss charming
JF-Expert Member
- Dec 3, 2016
- 910
- 905
- Thread starter
- #21
Sasa hayo magumu si unayashea na mpenz wakoNae ana hisia huenda kuna magumu anayapitia.
Sasa hayo magumu si unayashea na mpenz wakoNae ana hisia huenda kuna magumu anayapitia.
Hakuna maisha bila mapenzi mkuu na katika utafutaji huo wa hela lazima uwe na amani ya moyo nayo inaletwa na mapenzi
Wengne hawawez kufunguka mpenzSasa hayo magumu si unayashea na mpenz wako
Huko hasusi naongelea vitu vingine labda umemwambia kitu hiki cjapenda hapo unamkuta ndo anasusa anaondokaKama amesusa hata mkiwa mnalala hujavaa nguo hakugusi?!
Habari za usiku , Kuna mwanaume nimedumu nae kwa takriban miez 5 mpaka sasa lakni kitu kinachonikera ni mtu wa kuzila zila na kususa susa sana mpaka najiuliza huyu ana mapenzi ya dhati kweli maana mm najua mwanaume hasusi na hasa kwa mwanamke ampendae na pia huwa sio MTU wa story yaani anaweza mkakaa hapo kimya mpaka uanze ww kuongea .na wakati mwingine simu anaweza akakaa siku nzma asipige au akipiga anaongea maneno mawil tu keshakata, naomba wenye experience na mapenzi hii ikoje hasa katk mahusiano ..
Sasa huo muda anaosusa kwann huwa hunitafuti?Huko hasusi naongelea vitu vingine labda umemwambia kitu hiki cjapenda hapo unamkuta ndo anasusa anaondoka
Hahaaa mkuu sio kweli kuongea na mpenzi wako ni kunogesha upendo sasa utajuaje kitu gani anataka na kitu gani htakiTukionge mnatuanzishia uzi.....
Tukukua kimya mnatuanzishia threads....
Lahaulaaa subhanallah......
Sjazungumzia chochote kuhusu sayqns lakin unapoleta findings kama zako ni vzur ziwe universal barbie.Sio kila utafiti mpaka uletwe na wanasayansi
Hahaaa mkuu unajitekenya halafu unacheka mwenyewe ila hii kauli yako inasemwa sana na wanaume waliotendwa .. Mapenzi kitu kingine ndugu hayana jinsiahayo mawazo ya wanawake.. ungejua kwa nini wanaume wananunua malaya au kupiga nyeto ungeelewa... hela ndio kila kitu kwa mwanaume kamili.. mapenzi ni nyongeza tu...
Sio kwamba kuna sehemu anafungukaWengne hawawez kufunguka mpenz
Basi huyo mpenzi wako ni bubu aiseeee.....Hahaaa mkuu sio kweli kuongea na mpenzi wako ni kunogesha upendo sasa utajuaje kitu gani anataka na kitu gani htaki
ShukraniKuzila zila = Kuzira zira
Inaweza kuwa ndio au hapanaSio kwamba kuna sehemu anafunguka
Nikiachana nae nitakutafuta tatizo siwez kumiliki mabwana 2Sasa huo muda anaosusa kwann huwa hunitafuti?
tehteehh.....Kama amesusa hata mkiwa mnalala hujavaa nguo hakugusi?!
Asante kwa kunifumbua macho
Mim pia huwa sina kawaida ya kumpigia mwanamke wangu labda anipigie yeye ila nampenda sana NA sio miez 6 ni miaka 4 kwahyo kila mmoja na hulka yake ila ukwel anao moyoniHabari za usiku , Kuna mwanaume nimedumu nae kwa takriban miez 5 mpaka sasa lakni kitu kinachonikera ni mtu wa kuzila zila na kususa susa sana mpaka najiuliza huyu ana mapenzi ya dhati kweli maana mm najua mwanaume hasusi na hasa kwa mwanamke ampendae na pia huwa sio MTU wa story yaani anaweza mkakaa hapo kimya mpaka uanze ww kuongea .na wakati mwingine simu anaweza akakaa siku nzma asipige au akipiga anaongea maneno mawil tu keshakata, naomba wenye experience na mapenzi hii ikoje hasa katk mahusiano ..
DuuhUsikute zamani alikuwa mwanamke uyo mpenzi wako
Ni kweli mapenz hayana jinsia lakin mapenz sio basic need kwa bnadamu.Hahaaa mkuu unajitekenya halafu unacheka mwenyewe ila hii kauli yako inasemwa sana na wanaume waliotendwa .. Mapenzi kitu kingine ndugu hayana jinsia