Mwanangu Kim Jong Un

Wasaidie,
Wanafananisha wanunuzi Wa technologia na mwenye technolojia yake binafs!
 
 
The measure of intelligence is the ability to change. like Makongoro Nyerere Shikamoooo izzo team US ze kokuyo tumejiandaa kwa hili?
 
USA hajawahi kupigana na taifa lenye mshikamano na akashinda .. Yeye huwa akitaka kupigana analigawa kwanza hilo taifa kwa kupandikiza vikundi vya wanamgambo ili kupata urahisi. Kitu ambacho kwa N.Korea hakijafanikiwa...

USA akihichanganya basi huo ndio mwisho wake kuongoza dunia...

Halafu S.Korea na unafiki wake Wa kujipendekeza kwa USA ajiandae kuwa jivu
 
Marekani alipomshambulia Iraq mara ya kwanza (vita vya ghuba) Rais akiwa Bush aliangukia pua.

Alipokuja mara ya pili alianza kwa kutengeneza figisu kuwa kuna silaha za maangamizi matokeo yake Saddam akatorosha silaha na kuruhusu akaguliwe maficho yake yote.

Hapo US alishashinda vita kabla ya kuianza. Hivyo hivyo kwa Gaddafi alianza kwa kutumia watu waliojiita waandamanaji, kisha akatumia majeshi ya Nato na hatimaye akamalizia kazi kiulaini.

Sasa vita hii ni tofauti yaani anatakiwa aingie mzima mzima yeye mwenyewe bila ya hila yoyote ya kumdhoofisha Korea.

Hii vita ni ngumu sana kwa us kwani ili ashinde itamlazimu kuingia gharama kubwa sana itakayoyumbisha uchumi wake. Hivyo sitegemei aingie vitani watapiga tu mkwara wataondoka.
 
Kila taifa kibwa lina namna yake ya kuporomoka naninawahakikishia mwisho wa America upo karibu sana.

Najua amezoea kuzipiga nchi changa ili aogopewe nazile kubwa ila hapa Korea amebugi nakama hamuamin basi naaingie Korea akawafananishe nawanyonge wake wakiarabu ambao ndiomahali anakojifnzia vita. Hebu afanye haraka aingie korea anasubiriwa kwahamu
 
Naskia OS na mfumo endeshi wa Northern Korea dunia nzima inaushangaa ni wakipekee na haujulikani
 
Asnte mkuu, endelea kutupa dondoo tuzipendazo mtaalamu.
Natumaini ujinga utatutoka ukiendelea kama hivi maana leo nimesoma uzi hapa ndani jamaa anaeleza silaha zile kwenye maonesho ni midoli tu halafu anamalizia kwa kejeli kidogo 'hata Tanzania tunaeza unda hizo' humu ndani kuna analyst wengi wengine wa Mkongotema vituko hatari.
 
Naskia OS na mfumo endeshi wa Northern Korea dunia nzima inaushangaa ni wakipekee na haujulikani
Mpaka mwaka 2015 Operating system ilivyokuwa inatumia China ni Microsoft Windows japo Serikali ya China walianza kutaka kutengeneza OS yao inaitwa NeoKylin japo bado haijaanza kutumika

Mwaka jana ndio serikali ya Russia walikuwa wanataka kubalisha Microsoft Windows kwenye matumizi ya kijeshi na serikali lakini nao wanatumia windows japo wanayo Operations system inayoitwa Phantom OS
Kama nilivyosema hapo ni Korea kaskazini pekee Duniani ndio hawatumii hizi OS za Microsoft Windows, MacOS au Linux kuanzia raia mpaka serikali

So unaona mpaka mataifa makubwa kama Russia na China bado wanatumia mifumo ya wazungu hasa US mimi nawakubali sana Wamarekani lakini nawapongeza sana wakorea kaskazini kwa walipofikia wanaitaji kupongezwa sana kwa nchi iliyotengwa na dunia toka 1962 na hapo Watanganyika wanatakiwa kujua maendeleo yanaletwa na Watanganyika wenyewe si Mzungu au mwarabu wakorea wameonyesha kuwa inawezekana
herikipaji
 
point
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…