Mwana FA amkana Baba yake mzazi

Malipo ni hapa hapa duniani mkuu

Super hero daddy
Lakini inauma na inahitaji ujasiri wa kumkataa mzazi hata kama alikuteleeza.

Huruma ni muhimu ingawa wengine wanapaswa wasihurumiwe. Kwa hiyo utashi wetu unatakiwa utuongoze katika maamuz bila kufuata mihemko ya watu wanaotuzunguzuka.
 
nasema wasisamehewe ili tuishepu jamii! wakisamehewa watazoea sana
Hili jambo tukilitazama kwa undani zaidi ni jambo kubwa sana na lina mzizi mrefu.

Tukumbuke mwanamke naye anachangia kutokea kwa hili jambo.

Kwa upande mwingine wanawake wanajirahisisha kwa wanaume mwishowe wanaachwa na watoto kutwlekezwa maana mwanaume hakuwa na nia na mwanamke isipokuwa ni kwa haja ya muda mfupi tu.
 
Lakini inauma na inahitaji ujasiri wa kumkataa mzazi hata kama alikuteleeza.

Huruma ni muhimu ingawa wengine wanapaswa wasihurumiwe. Kwa hiyo utashi wetu unatakiwa utuongoze katika maamuz bila kufuata mihemko ya watu wanaotuzunguzuka.
hujapitia magumu wewe!

unalelewa kwa kuhamahama leo kwa aunt kesho kwa mjomba kesho kutwa kwa babu kisa baba ako kakukataa yuko bize na mambo yake?

kama ni mimi sitamsamehe niko radhi nigawane na walionisaidia kipindi ninahitaji msaada!

huo ubaba wa uzeeni ni sawa na marafiki wanaokupenda ukiwa nacho( hawa napiga chini).
 
Hili jambo tukilitazama kwa undani zaidi ni jambo kubwa sana na lina mzizi mrefu.

Tukumbuke mwanamke naye anachangia kutokea kwa hili jambo.

Kwa upande mwingine wanawake wanajirahisisha kwa wanaume mwishowe wanaachwa na watoto kutwlekezwa maana mwanaume hakuwa na nia na mwanamke isipokuwa ni kwa haja ya muda mfupi tu.
sasa kosa langu kama mtoto linakua ni lipi mkuu?

sawa mama kajirahisi nikazaliwa ukanikataa, nahisi inatosha uendelee kunikataa itakuwa ni busara zaidi kushikilia msimamo wa kutotambua uwepo wa mtoto hata akifanikiwa.

Jamii ibadilike la sivyo wazazi watapata tabu sana maana watoto wamekataa misemo ya zamani eti baba hakosei( sio Mungu)!
 
sasa kosa langu kama mtoto linakua ni lipi mkuu?

sawa mama kajirahisi nikazaliwa ukanikataa, nahisi inatosha uendelee kunikataa itakuwa ni busara zaidi kushikilia msimamo wa kutotambua uwepo wa mtoto hata akifanikiwa.

Jamii ibadilike la sivyo wazazi watapata tabu sana maana watoto wamekataa misemo ya zamani eti baba hakosei( sio Mungu)!
Ubarikiwe
 
sasa kosa langu kama mtoto linakua ni lipi mkuu?

sawa mama kajirahisi nikazaliwa ukanikataa, nahisi inatosha uendelee kunikataa itakuwa ni busara zaidi kushikilia msimamo wa kutotambua uwepo wa mtoto hata akifanikiwa.

Jamii ibadilike la sivyo wazazi watapata tabu sana maana watoto wamekataa misemo ya zamani eti baba hakosei( sio Mungu)!
Mkuu bora umejibu maana hawajielewi na lawama kwa wanawake
 
Hili jambo tukilitazama kwa undani zaidi ni jambo kubwa sana na lina mzizi mrefu.

Tukumbuke mwanamke naye anachangia kutokea kwa hili jambo.

Kwa upande mwingine wanawake wanajirahisisha kwa wanaume mwishowe wanaachwa na watoto kutwlekezwa maana mwanaume hakuwa na nia na mwanamke isipokuwa ni kwa haja ya muda mfupi tu.
Sasa mkuu ukimuacha mwanamke na ujauzito au mtoto kwa sababu tu yeye ndiye alijilengesha wewe hukuwa na haja na mtoto si ufuate mambo yako? Au mtoto akishazaliwa akalelewa, akakua, akawa na hela, akapendeza ndo sasa baba yake unakuwa na haja na mtoto?

Yaani wazee kama hawa siyo wa kuwaendekeza kabisa kama alizingua na yeye azinguliwe vile vile! Dawa ya moto ni moto. Mpaka washike adabu na akili ziwakae maana wamezoea.
 
Back
Top Bottom