Maana yake nini....
......ha ha ha JF zelandingmizailizoni
January hausiki na kashfa zinazosambazwa mitandaoni.
Hao ni matapeli na wameamua kumtumia tapeli mwenzao huyo anayejiita wa kitaliano.
Mahusiano yangu, masuala yangu binafsi hayapaswi kuhusianishwa na kaka yangu January. Mimi nina maisha yangu na yeye ana maisha yake binafsi, mimi nina kazi zangu na yeye ana kazi zake.
Puuzeni upuuzi huo unaosambazwa kwa sababu ni wa kupika.
Kuniuliza Leading Questions halafu kunirekodi ili unilishe maneno ni upuuzi wa kupuuzwa.
Mwamvita Makamba....
Haha wewe jamaa hatari sana ,wakati kwenye uzi husika nimekuona unasema hapa huweki neno ,ukatoka ndukiKwani ni issue gani hebu iwekeni hapa ili tuijadili vizuri
OK lakini hazifungukiMakamba kamnyima kimambi mgao wa ufisadiv...kimambi kamua kumuanika
Now the awakening is becoming...hukupaswa kumpuuza huyo tapeli bali kumreport mara moja kwenye vyombo husika ili achukuliwe hatua.January hausiki na kashfa zinazosambazwa mitandaoni.
Hao ni matapeli na wameamua kumtumia tapeli mwenzao huyo anayejiita wa kitaliano.
Mahusiano yangu, masuala yangu binafsi hayapaswi kuhusianishwa na kaka yangu January. Mimi nina maisha yangu na yeye ana maisha yake binafsi, mimi nina kazi zangu na yeye ana kazi zake.
Puuzeni upuuzi huo unaosambazwa kwa sababu ni wa kupika.
Kuniuliza Leading Questions halafu kunirekodi ili unilishe maneno ni upuuzi wa kupuuzwa.
Mwamvita Makamba....
Hahhahahaaaa I was waiting for this momentWaliokua wanakataa kwamba sauti siyo ya Mwamvita na sijui accent siyo ya Muitaliano kisa tu sijui mme date nao hivyo mnawajua vizuri njooni hapa mkatae pia hii kauli ya Mwamvita kwamba ni kweli aliongea nae
No matter ziwe hata mia tatu kikubwa hakuna cha kupuuzaIlishawekwa mkuu, utaiona hapo siasani hiyo thread ya Waziri wa Magufuli January Makamba kwenye kashfa ya ufisadi
January hausiki na kashfa zinazosambazwa mitandaoni.
Hao ni matapeli na wameamua kumtumia tapeli mwenzao huyo anayejiita wa kitaliano.
Mahusiano yangu, masuala yangu binafsi hayapaswi kuhusianishwa na kaka yangu January. Mimi nina maisha yangu na yeye ana maisha yake binafsi, mimi nina kazi zangu na yeye ana kazi zake.
Puuzeni upuuzi huo unaosambazwa kwa sababu ni wa kupika.
Kuniuliza Leading Questions halafu kunirekodi ili unilishe maneno ni upuuzi wa kupuuzwa.
Mwamvita Makamba....
Kweli kiaje?