Mwamposa Hongera kwa Jengo jipya la Ibada hakika utukufu wa Mungu unaonekana

Brojust

JF-Expert Member
Sep 17, 2016
354
1,044
Heri ya pasaka.

Sitaki kupepesa macho, Mimi ni muumini wako na ninabarikiwa sana na Huduma yako na hapa ndio natoka kwenye Ibada ya pasaka.

Hongera sana kwa Jengo jipya la Ibada ingawa Bado halijafunguliwa lakini kwa clip mbali mbali unazozionyesha kwenye screen kipindi Cha Ibada hakika Mungu anaonekana.

Endelea kushika Maisha ya watu kiroho, umekuwa suluhisho la mambo ya kiroho kwa watu wengi sana ndani na nnje ya nchi.

Hongera sana Mwamposa, Mungu azidi kukuinua Baba.

NB: Kuna kazi za kujitolea zinaendelea pale natoa wito kwa kijana yeyote kama una muda uko empty na huna Cha kufanya acha kukaa kijiweni twenzetu pale hata tukafagie tu, Itakuwa ni sehemu ya mchango wako katika ujenzi wa nyumba ya Bwana na utabarikiwa beyond borders, Chukua hatua ya Imani

Nawasilisha.
 
Heri ya pasaka.

Sitaki kupepesa macho, Mimi ni muumini wako na ninabarikiwa sana na Huduma yako na hapa ndio natoka kwenye Ibada ya pasaka.

Hongera sana kwa Jengo jipya la Ibada ingawa Bado halijafunguliwa lakini kwa clip mbali mbali unazozionyesha kwenye screen kipindi Cha Ibada hakika Mungu anaonekana.

Endelea kushika Maisha ya watu kiroho, umekuwa suluhisho la mambo ya kiroho kwa watu wengi sana ndani na nnje ya nchi.

Hongera sana Mwamposa, Mungu azidi kukuinua Baba.

NB: Kuna kazi za kujitolea zinaendelea pale natoa wito kwa kijana yeyote kama una muda uko empty na huna Cha kufanya acha kukaa kijiweni twenzetu pale hata tukafagie tu, Itakuwa ni sehemu ya mchango wako katika ujenzi wa nyumba ya Bwana na utabarikiwa beyond borders, Chukua hatua ya Imani

Nawasilisha.
Nyumbuz
 
Heri ya pasaka.

Sitaki kupepesa macho, Mimi ni muumini wako na ninabarikiwa sana na Huduma yako na hapa ndio natoka kwenye Ibada ya pasaka.

Hongera sana kwa Jengo jipya la Ibada ingawa Bado halijafunguliwa lakini kwa clip mbali mbali unazozionyesha kwenye screen kipindi Cha Ibada hakika Mungu anaonekana.

Endelea kushika Maisha ya watu kiroho, umekuwa suluhisho la mambo ya kiroho kwa watu wengi sana ndani na nnje ya nchi.

Hongera sana Mwamposa, Mungu azidi kukuinua Baba.

NB: Kuna kazi za kujitolea zinaendelea pale natoa wito kwa kijana yeyote kama una muda uko empty na huna Cha kufanya acha kukaa kijiweni twenzetu pale hata tukafagie tu, Itakuwa ni sehemu ya mchango wako katika ujenzi wa nyumba ya Bwana na utabarikiwa beyond borders, Chukua hatua ya Imani

Nawasilisha.
Taahira lililogeuzwa ndezi na Mwamposa linasifia ujinga!
 
Taahira lililogeuzwa ndezi na Mwamposa linasifia ujinga!
Ingetosha sana kupita bila ku comment na kunitukana kimya kimya, kuliko kuandika juu ya Imani ya mtu. Sijajua Dini yako lakini kama humwamini Mungu nitakuelewa ila Kama kweli unaamini Kuna Mungu basi yawezekana Kuna ulakini kwenye kichwa chako.

Sikia, Ibada ni mazungumzo binafsi kati ya mwanadamu na Mungu anayemwamini. Madhabahu ni sehemu ambayo watu hukutana pamoja ili kuongea na Mungu kwa namna ya kumsifu, kueleza shida zako, kuomba toba na kadharika.

Pale kawe kwa mtumishi wa Mungu mwamposa hatuendi kumwabudu mwamposa na hata yeye mwenyewe Huwa anasema ukiyendewa jua kwamba umetendewa na Mungu na sio yeye.

Yawezekana wewe ni mtu clever na mwenye Maisha, pesa, elimu, madaraka pamoja nguvu ya akili kushinda watu zaidi ya elfu 20 wanaohudhuria madhabahu ya Arise and Shine Kila jumapili.

Yawezekana wewe ukawa na utashi sana na hekima zaidi ya watu waliompa vibali vya kuendesha madhabahu Ile kwa misingi ya Sheria na taratibu za nchi.

Yawezekana wewe ukawa unamshinda Kila kitu Mwamposa aliyopewa maono ya kuanzisha madhabahu Ile na kuhubiri neno la Mungu kwa zaidi ya miaka 25, tokea Kilimanjaro, Mombasa, Arusha, Mbeya na sasa Ameweka makazi rasmi DSM.

Fine! Mimi nasema Ahsante kwa maneno mazuri ila yenye ukakasi juu ya Imani yangu ya kuongea na Mungu kwa kupitia madhabahu ya Arise and Shine.

Uendelee kupata hekima zaidi ya Kumwabudu Mungu wako kwa Imani yako na Kupitia maneno uliyoyasema hapo juu basi Mungu mkuu ndiye anajua kipi Cha kufanya juu yako.

Mimi binafsi sikujui ila nakuweka kwenye maombi, upate Hekima na Busara juu ya kuwaongelea vibaya watumishi wa Mungu.

Ubarikiwe chief.
 
Heri ya pasaka.

Sitaki kupepesa macho, Mimi ni muumini wako na ninabarikiwa sana na Huduma yako na hapa ndio natoka kwenye Ibada ya pasaka.

Hongera sana kwa Jengo jipya la Ibada ingawa Bado halijafunguliwa lakini kwa clip mbali mbali unazozionyesha kwenye screen kipindi Cha Ibada hakika Mungu anaonekana.

Endelea kushika Maisha ya watu kiroho, umekuwa suluhisho la mambo ya kiroho kwa watu wengi sana ndani na nnje ya nchi.

Hongera sana Mwamposa, Mungu azidi kukuinua Baba.

NB: Kuna kazi za kujitolea zinaendelea pale natoa wito kwa kijana yeyote kama una muda uko empty na huna Cha kufanya acha kukaa kijiweni twenzetu pale hata tukafagie tu, Itakuwa ni sehemu ya mchango wako katika ujenzi wa nyumba ya Bwana na utabarikiwa beyond borders, Chukua hatua ya Imani

Nawasilisha.
Tuonane picha ya hilo jengo
 
Endeleeni kumtolea, toeni zaka, mafungu ya 10, sadaka za kujimaliza, nunuenj upako+mafuta ya miujiza na kila ibada zake msikose then end of days mwenzenu katajirisha mpaka kizazi chake cha 5 wakati huo ninyi makondoo wake kwaachia ufukara, umasikini na kawaachia vijimistari vya uongo ktk biblia ili kuwahadaa na kuwatia moyo msishitukie deal.

Wafia dini amkeni mtatapeliwa mpaka lini? Kusoma hizo biblia kwa ufahamu hamtaki basi hata macho ya kutafakari hamna?
 
Back
Top Bottom