Mimi nikajua ugumu wa maisha nipate cha kuikosoa serikali ya Msukuma kumbe papuchi a.k.a kipochi manyoya.[/QUOTE
Walimu maisha magumu hata mapenzi magumu...ukimwambia tu mwanamke mi mwalimu umepigwa chini.
Uko sahihi Mkuu! Mwingine alihamishia Makao Makuu Dodoma kuenzi Nyuchi ya Mgogo, Mwingine alioa Mwanafunzi wa Jangwani akikua ni kosa kisheri, Mwingine akafungua Biashara kwa jina na Address ya Jumba jeupe kumridhisha Mchaga wake huku akijua ni kosa! Mwingine kajitoa kwny Chama kwa Amri ya kimada wake.mkuu wewe acha kitu kinaitwa true love au feelings mbele ya papuchi au mbunye. Watu wako radhi kujiua kuua kufunga na wengine wanaenda mbali hadi kugawa nyumba za serekali kwa ajili ya maku nawengine kukomba na kusafisha hazina bila huruma nakuwaacha wenye hazina wakiwa maskini wa kutupwa isitoshe unafungwa maisha kwa ajili ya hii kitu nguza viking na kijana wake wanalijua hilo sasa hiv wanakula maisha nyuma ya nondo
Cheseya Papuchi weweee
Hawa vipochi manyoya wana nguvu sanaUko sahihi Mkuu! Mwingine alihamishia Makao Makuu Dodoma kuenzi Nyuchi ya Mgogo, Mwingine alioa Mwanafunzi wa Jangwani akikua ni kosa kisheri, Mwingine akafungua Biashara kwa jina na Address ya Jumba jeupe kumridhisha Mchaga wake huku akijua ni kosa! Mwingine kajitoa kwny Chama kwa Amri ya kimada wake.
Dah kumbe wanyakyusa nao wako weak kiasi hiki?mnyakyusa huyu yamemkuta asee
Dah! Halafu bado wanalilia kuwezeshwa wakati uwezo wanatembea naoHawa vipochi manyoya wana nguvu sana
Acha siasa penzi ni kutatuanaKajiua kwa ajili ya mapenzi ya kweli juu ya huyo demu. Sio kwa ajili ya kiungo kimoja tu. Mapenzi ya kweli sio kutyana tu
Si ajabu ukimuona ukalia na kusikitika kuliko hata ulivyomsikitikia huyu mwalimu.Sipati picha uzuri wa huyo mwanamke....