Mwakyembe amtaka Makonda ajibu maswali 9

Analaanije kuvamiwa clouds wakati alisema hakukuwa na ukweli kwa sababu habari haijabalansi? Sasa hayo maswali anamuuliza kivipi?
 
Swali la kwanza liwe la VYETI kama hamna hilo swali mh: usitafute kiki
 
Wanataka kulegeza msimamo wa Jukwaa la Wahariri....... imepenya
 
Maswali 9 ya mwakyembe.
1.wewe ni nani?
2.unaishi wapi?
3.unawatoto wangapi?
4.bado natoa unga kichwani?
5.hilo wesele lako mbona kubwa,unatumia mchina au natural??
6.eti wewe ni mchicha pori?
7.pogba anakufanyaje mkiwa wenyewe chumban?
8.ccm ni chama cha nchi gani?
9.unatumia shisha???
HAYA NDO MASWALI ALIYOANDAA MSOMI MWAKYEMBE
 
Mwakyembe anataka makonda ajibu hayo maswali ili iweje wakati alifuatwa na kamati ya Nape akawakimbia? Mwakyembe huoni ya kuwa kwa kufanya hivyo utakuwa unasaliti ripoti ya Nape? Makonda ni nani hadi kufuatwa na mawaziri wote hao? Mwakyembe huoni ya kuwa kwa kufanya utakuwa unajidhalilisha mwenyewe na mbele ya makonda ambaye ni mdogo kuliko hadhi yako? kimantiki ni kwamba, kama Makonda aliweza kukimbia wanakamati waliokuwa wametumwa na Nape ambaye yupo upande wa serikali, harafu bado leo unataka akujibu hayo maswali, akikwambia ya kuwa hayuko tayari kujibu hayo maswali utasemaje?
 
Ila inasikitisha sana mzazi kumsomesha mwanao kwa taabu na mateso mengi umejinyima, mtoto kakulipa fadhila kafaulu vizuri mitihani yake mpaka kafikia chuo vivyo hivyo kafanya vizuri ana master yake swafi ila yupo mitaani akisugua kisigino kutafuta ajira na kuna wengine ujanja ujanja na ufigisu figisu na 0 yenye masikio na pua wapo wanakula mema ya nchi najisemeaga kwa sauti siku ya mwisho kila mtu ataubeba msalaba wake mwenyewe
hahaa si alimuuzia mwenyewe?
 
I hate Mwakyembe the same as Bashite and their 'senders"
mi nachukia yule wa chattle yaani tangu alivyosema watu wapige mbizi nilimchukia na haya maneno mengine anayoendelea kukutukana ndo kabisaaaaaaa sitaki hata kumsikia
 
Daah safari hii lazima mtumbuo utatokea na utatikisa media zote, ili amtumbue msimtajetaje mara kwa mara then utasikia Mh Rais atengua uteuzi wa Mkuu wa Mkoa wa Daresalaam Mh P C.Makonda
 
Back
Top Bottom