laki si pesa.
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 10,003
- 9,754
Kutoka mwalimu wa Chuo Kikuu UDSM mpaka kuhangaika na hao wahuni wa bongo flavor ni bonge la demotion....bora arudi zake chuo awe mwalimu tu ataheshimika
Ndo kazi mlompa we viipiMwakyembe nae kama kachanganyikiwa baada ya kuondolewa kwenye sharia...aache kuhangaika na hao wavuta bange
Huo wimbo ushaharibiwa ubora na dhima!
Hakuna kitu hapo mkuuHuo wimbo ushaharibiwa ubora na dhima!
Watu kama hawa hutakiwi kubishana nao no kuwaacha wabaki na ujinga waoAkili ndogo ni akili ndogo eti PHD isiyomsaidia uwazili wewe utaupata? Au baba yako? Au familia yako? Muwe mnatafakari kabla ya kuandika
Acheni matusi humu, halafu uwaziri wake unatokana na ubunge na wala sio PhD. yakeAkili ndogo ni akili ndogo eti PHD isiyomsaidia uwazili wewe utaupata? Au baba yako? Au familia yako? Muwe mnatafakari kabla ya kuandika
Akili ndogo ni akili ndogo eti PHD isiyomsaidia uwazili wewe utaupata? Au baba yako? Au familia yako? Muwe mnatafakari kabla ya kuandika